Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hizi ndio habari simba inapenda kusikia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wageni wapo 12 tayari
"...klabu namba moja kwa ubora katika bara la Africa kutoka ktk taifa la Tanzania...."Nadhani wewe ndio unakurupuka. Hebu rudia tena kusoma alichoandika, soma tu taratibu hakuna haraka yoyote
........Klabu hiyo inatokea Tanzania"...klabu namba moja kwa ubora katika bara la Africa kutoka ktk taifa la Tanzania...."
Mara baada ya tajiri Mo dewji kupost katika mtandao wa X kuwa Simba itasajili Mshambuliaji mwingine kabla ya dirisha kubwa kumalizika.
Habari zimevuja kuwa tayari Simba sc imeinasa mshambuliaji wa kimataifa wa Ethiopia, Abubeker Nessir kutoka klabu ya Mamelodi. Niwape tu habari kuwa huyu jamaa ni moto wa kuotea mbali sana. Kwasisi ambao tunaving'amuzi vya DSTV na wafuatiliaji wa ligi ya Ethiopia huyu jamaa atakuwa sio mgeni machoni mwetu kwani alikuwa mshambuliaji hatari wa kikosi cha Ethiopian coffee kabla ya kusajiliwa na Mamelodi Sundowns. Majeraha yaliyotokana na kusumbua sana mabeki yalimweka nje msimu uliopita ila kwa sasa amepona na amerejea kukipiga ndani ya uzi mwekundu kwa klabu namba moja kwa ubora katika bara la Africa kutoka ktk taifa la Tanzania.
Mnaweza kuangalia uwezo wake hapa
View: https://m.youtube.com/watch?v=CoF5lRjnZ8c&pp=ygUfYWJ1YmVrZXIgbmFzaXIgc2tpbGxzIGFuZCBnb2Fscw%3D%3D
✅️✅️✅️utoto
Tunajenga timu kumbuka simba imefumua kikosi chote jana wachezaji 9 walioanza hawakuwepo msimu uliopitaKwa mechi mbili za Simba nilizoona, bado hatuna team ya kupambana na Yanga sijui tatizo lipo wapi au Mo mbahili? Au tuna viongozi wazee? Najiulizq sn
Wanajitoa ufahamu tuu bila kusahau wanameza porojo zote wanazoambiwa na kispika wao.Hivi unaposema Simba ni timu namba moja Afrika inakuwa ni utoto au ujinga au ujuha au mahaba au ni nini hivi?
Aione mwasibu OKW BOBAN SUNZU Mzee wa YouTube nashangaa siku hizi 5imba inafanya sajili lakini hatuletei tena mambo ya YouTube.Hakuna mchezaji mbaya YouTube
Fred funga funga wanampiga mkasiWageni wapo 12 tayari
Mara baada ya tajiri Mo dewji kupost katika mtandao wa X kuwa Simba itasajili Mshambuliaji mwingine kabla ya dirisha kubwa kumalizika.
Habari zimevuja kuwa tayari Simba sc imeinasa mshambuliaji wa kimataifa wa Ethiopia, Abubeker Nessir kutoka klabu ya Mamelodi. Niwape tu habari kuwa huyu jamaa ni moto wa kuotea mbali sana. Kwasisi ambao tunaving'amuzi vya DSTV na wafuatiliaji wa ligi ya Ethiopia huyu jamaa atakuwa sio mgeni machoni mwetu kwani alikuwa mshambuliaji hatari wa kikosi cha Ethiopian coffee kabla ya kusajiliwa na Mamelodi Sundowns. Majeraha yaliyotokana na kusumbua sana mabeki yalimweka nje msimu uliopita ila kwa sasa amepona na amerejea kukipiga ndani ya uzi mwekundu kwa klabu namba moja kwa ubora katika bara la Africa kutoka ktk taifa la Tanzania.
Mnaweza kuangalia uwezo wake hapa
View: https://m.youtube.com/watch?v=CoF5lRjnZ8c&pp=ygUfYWJ1YmVrZXIgbmFzaXIgc2tpbGxzIGFuZCBnb2Fscw%3D%3D
Mukwale sifa nyingi ila siioni anachofanya….sina imani bado na kikosi… mtu pekee nilie na imani nae ni kipaTunajenga timu kumbuka simba imefumua kikosi chote jana wachezaji 9 walioanza hawakuwepo msimu uliopita