Tetesi: Itoshe kusema kuwa Mfalme wa soka nchini Tanzania, Simba Sc imepata mshambuliaji hatari Abubeker Nessir. Mabeki ya NBCPL wajiandae kulala na viatu

Tetesi: Itoshe kusema kuwa Mfalme wa soka nchini Tanzania, Simba Sc imepata mshambuliaji hatari Abubeker Nessir. Mabeki ya NBCPL wajiandae kulala na viatu

Mara baada ya tajiri Mo dewji kupost katika mtandao wa X kuwa Simba itasajili Mshambuliaji mwingine kabla ya dirisha kubwa kumalizika.

Habari zimevuja kuwa tayari Simba sc imeinasa mshambuliaji wa kimataifa wa Ethiopia, Abubeker Nessir kutoka klabu ya Mamelodi. Niwape tu habari kuwa huyu jamaa ni moto wa kuotea mbali sana. Kwasisi ambao tunaving'amuzi vya DSTV na wafuatiliaji wa ligi ya Ethiopia huyu jamaa atakuwa sio mgeni machoni mwetu kwani alikuwa mshambuliaji hatari wa kikosi cha Ethiopian coffee kabla ya kusajiliwa na Mamelodi Sundowns. Majeraha yaliyotokana na kusumbua sana mabeki yalimweka nje msimu uliopita ila kwa sasa amepona na amerejea kukipiga ndani ya uzi mwekundu kwa klabu namba moja kwa ubora katika bara la Africa kutoka ktk taifa la Tanzania.

Mnaweza kuangalia uwezo wake hapa


View: https://m.youtube.com/watch?v=CoF5lRjnZ8c&pp=ygUfYWJ1YmVrZXIgbmFzaXIgc2tpbGxzIGFuZCBnb2Fscw%3D%3D

Hilo gori alilofunga si ni kama la mzize alilowafunga Azam jana
 
Kwa mechi mbili za Simba nilizoona, bado hatuna team ya kupambana na Yanga sijui tatizo lipo wapi au Mo mbahili? Au tuna viongozi wazee? Najiulizq sn
 
Kwa mechi mbili za Simba nilizoona, bado hatuna team ya kupambana na Yanga sijui tatizo lipo wapi au Mo mbahili? Au tuna viongozi wazee? Najiulizq sn
Tunajenga timu kumbuka simba imefumua kikosi chote jana wachezaji 9 walioanza hawakuwepo msimu uliopita
 
Hivi unaposema Simba ni timu namba moja Afrika inakuwa ni utoto au ujinga au ujuha au mahaba au ni nini hivi?
Wanajitoa ufahamu tuu bila kusahau wanameza porojo zote wanazoambiwa na kispika wao.
 
Huu utoto ndio unatugharimu mashabiki wa Simba.
 
U
Mara baada ya tajiri Mo dewji kupost katika mtandao wa X kuwa Simba itasajili Mshambuliaji mwingine kabla ya dirisha kubwa kumalizika.

Habari zimevuja kuwa tayari Simba sc imeinasa mshambuliaji wa kimataifa wa Ethiopia, Abubeker Nessir kutoka klabu ya Mamelodi. Niwape tu habari kuwa huyu jamaa ni moto wa kuotea mbali sana. Kwasisi ambao tunaving'amuzi vya DSTV na wafuatiliaji wa ligi ya Ethiopia huyu jamaa atakuwa sio mgeni machoni mwetu kwani alikuwa mshambuliaji hatari wa kikosi cha Ethiopian coffee kabla ya kusajiliwa na Mamelodi Sundowns. Majeraha yaliyotokana na kusumbua sana mabeki yalimweka nje msimu uliopita ila kwa sasa amepona na amerejea kukipiga ndani ya uzi mwekundu kwa klabu namba moja kwa ubora katika bara la Africa kutoka ktk taifa la Tanzania.

Mnaweza kuangalia uwezo wake hapa


View: https://m.youtube.com/watch?v=CoF5lRjnZ8c&pp=ygUfYWJ1YmVrZXIgbmFzaXIgc2tpbGxzIGFuZCBnb2Fscw%3D%3D

Unamaanisha alikuwa majeruhi msimu wote uliopita, alafu msimu huu anaibukia Simba?

Mmemsajili based on 2022/2023 form, why msingesubiria arudi uwanjani muone atakuwaje. Maana majeruha ya kumuweka nje msimu mzima sio jambo la kupuuzia. Yale yale ya Sawadogo.
 
Timu zetu zinahangaika sana kwenda nje wakati wachezaji wameshajileta wenyewe sokoni hapa kwenye ligi yetu. Simba wangeweza tu kumchukua Elvis Rupia kama mshambuliaji wa kati Marouf Tchakei kama namba 10 basi hapo wangekuwa wamemaliza kule mbele.

Simba wasione aibu kujifunza kwa wenzao Yanga ambao wememchomoa Abuya hapa hapa bongo na yupo vizuri tu.
 
Tunajenga timu kumbuka simba imefumua kikosi chote jana wachezaji 9 walioanza hawakuwepo msimu uliopita
Mukwale sifa nyingi ila siioni anachofanya….sina imani bado na kikosi… mtu pekee nilie na imani nae ni kipa
 
Back
Top Bottom