Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,360
- 2,269
- Thread starter
- #41
Oooh ndio wakatoa movie ya SAW? Vichwa kweliJamaa walikuwa wametoka kuhitimi Film school, Ila hawakuwa na pesa. Ndiyo maana walilazimika kuwa wabunifu ili wasitumie maeneo mengi (ambayo Ni tafauti na movies nyingi zinazofanya vizuri)...
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app