Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
😅😅😅ijumaa yangu inakuja inakata,inakuja inakata🤣🤣🤣hata siielewi elewi bado naendelea kuizoom tu 🧐🧐🧐🧐🧐
Yako ikoje? Umepanga kwenda wapi leo?kuwatch movie,ball,kuruka kwanja,kuchil na bae home,kupiga vyombo🥃home au unatoka na washkaji,ikoje!
😅😅😅au na wewe yako huielewi kama yangu😎😎
🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂
Yako ikoje? Umepanga kwenda wapi leo?kuwatch movie,ball,kuruka kwanja,kuchil na bae home,kupiga vyombo🥃home au unatoka na washkaji,ikoje!
😅😅😅au na wewe yako huielewi kama yangu😎😎