It’s already wikend huh....

It’s already wikend huh....

Chakorii

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
18,773
Reaction score
51,429
😅😅😅ijumaa yangu inakuja inakata,inakuja inakata🤣🤣🤣hata siielewi elewi bado naendelea kuizoom tu 🧐🧐🧐🧐🧐

Yako ikoje? Umepanga kwenda wapi leo?kuwatch movie,ball,kuruka kwanja,kuchil na bae home,kupiga vyombo🥃home au unatoka na washkaji,ikoje!

😅😅😅au na wewe yako huielewi kama yangu😎😎

C705EAB2-CDA0-4141-BB33-9479F93E7A46.jpeg
🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂
 
Uzee mbaya sana, wengine wanataka kutoka wengine tunajiandaa kulala.
Sio ubaya😅😅😅tena nyie kila siku ni wikend tofauti na sisi tunakuwa na siku maalumu.

🤣🤣🤣unaweza toka na bibi yetu hapo mkaenda kujinywea Cab Sav yenu mkarudi kulala😅😅
 
😅😅😅ijumaa yangu inakuja inakata,inakuja inakata🤣🤣🤣hata siielewi elewi bado naendelea kuizoom tu 🧐🧐🧐🧐🧐

Yako ikoje? Umepanga kwenda wapi leo?kuwatch movie,ball,kuruka kwanja,kuchil na bae home,kupiga vyombo🥃home au unatoka na washkaji,ikoje!

😅😅😅au na wewe yako huielewi kama yangu😎😎

View attachment 1530187🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂
venye sina hela, sina deal sina bae bas niko zangu tu nyumbani 😂😂
 
Sio ubaya[emoji28][emoji28][emoji28]tena nyie kila siku ni wikend tofauti na sisi tunakuwa na siku maalumu.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]unaweza toka na bibi yetu hapo mkaenda kujinywea Cab Sav yenu mkarudi kulala[emoji28][emoji28]

Choka mbaya, tulikuwa shambani siku nzima, huo mda wa kwenda cab saivi nani anao, ngoja kwanza tubanane, Magu kasema!!
 
Nipo naangalia series moja hapa ya kizungu.
Ina drama moja tamu dunia..
 

Attachments

  • Screenshot_20200806-233224~2.png
    Screenshot_20200806-233224~2.png
    66.3 KB · Views: 1
😅😅😅ijumaa yangu inakuja inakata,inakuja inakata🤣🤣🤣hata siielewi elewi bado naendelea kuizoom tu 🧐🧐🧐🧐🧐

Yako ikoje? Umepanga kwenda wapi leo?kuwatch movie,ball,kuruka kwanja,kuchil na bae home,kupiga vyombo🥃home au unatoka na washkaji,ikoje!

😅😅😅au na wewe yako huielewi kama yangu😎😎

View attachment 1530187🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂
Weekend zinakuja fasta kushinda week days😁😁😁😁😁😂😂😂
 
Back
Top Bottom