It’s already wikend huh....

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Achaaa tu...Raha jipe mwenyewe
Kabisa mama..πŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈMaisha ndo haya hyaπŸ₯‚πŸ₯‚
 
Thanks lovie..na kwako pia..

Please take care of yoself honey...πŸ₯‚πŸ₯‚πŸ₯‚
Yani dada zangu nyinyi basi tu ndio maana kwenye kale ka familia nakwaluzana nanyi wawili tu..πŸ˜…
Kama wewe li machepele wewe basi tu..
 
Ngoja kwa leo niwe mpole tu nisikuharibie siku.. sawa chaupole..😜
Sio leo tu iwe siku zote.
Unakuwaga na maneno yako sa ingine huwa napata maswali juu ya umri wako aiseh.

Tufurahi,na heshima iwepo pia.
πŸ₯‚πŸ₯‚πŸ₯‚πŸ₯‚πŸ₯‚πŸ₯‚πŸ₯‚
 
Sio leo tu iwe siku zote.
Unakuwaga na maneno yako sa ingine huwa napata maswali juu ya umri wako aiseh.

Tufurahi,na heshima iwepo pia.
πŸ₯‚πŸ₯‚πŸ₯‚πŸ₯‚πŸ₯‚πŸ₯‚πŸ₯‚
Nizoee tu dada..πŸ˜‚πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…