It’s already wikend huh....

It’s already wikend huh....

Thanks lovie..na kwako pia..

Please take care of yoself honey...🥂🥂🥂
Yani dada zangu nyinyi basi tu ndio maana kwenye kale ka familia nakwaluzana nanyi wawili tu..😅
Kama wewe li machepele wewe basi tu..
 
Ngoja kwa leo niwe mpole tu nisikuharibie siku.. sawa chaupole..😜
Sio leo tu iwe siku zote.
Unakuwaga na maneno yako sa ingine huwa napata maswali juu ya umri wako aiseh.

Tufurahi,na heshima iwepo pia.
🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂
 
Sio leo tu iwe siku zote.
Unakuwaga na maneno yako sa ingine huwa napata maswali juu ya umri wako aiseh.

Tufurahi,na heshima iwepo pia.
🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂
Nizoee tu dada..😂🙏
 
Back
Top Bottom