Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😂 Achaaa tu...Raha jipe mwenyeweWacha weee
Sasa jee..!!nikutakie muda mwema dear..🥂🥂🥂Kabisa mama..🧚♀️🧚♀️🧚♀️Maisha ndo haya hya🥂🥂
Yani dada zangu nyinyi basi tu ndio maana kwenye kale ka familia nakwaluzana nanyi wawili tu..😅Thanks lovie..na kwako pia..
Please take care of yoself honey...🥂🥂🥂
Asee, hata bae!!venye sina hela, sina deal sina bae bas niko zangu tu nyumbani 😂😂
Rafiki nakuonaSio leo tu iwe siku zote.
Unakuwaga na maneno yako sa ingine huwa napata maswali juu ya umri wako aiseh.
Tufurahi,na heshima iwepo pia.
🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂
Upo upande upi nije kukubambia, manake shape hiyo aseeNajiandaa kwenda dar laivu kumuona mzee Yusuf 😎
Nizoee tu dada..😂🙏Sio leo tu iwe siku zote.
Unakuwaga na maneno yako sa ingine huwa napata maswali juu ya umri wako aiseh.
Tufurahi,na heshima iwepo pia.
🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂
Umemisiwaaaaa[emoji41]Sasa jee..!!nikutakie muda mwema dear..[emoji1635][emoji1635][emoji1635]
AiseeKutoa sadaka anaamua Mungu, sio binadamu.