Dah...huo uzembe Sasa [emoji2960]venye sina hela, sina deal sina bae bas niko zangu tu nyumbani [emoji23][emoji23]
Hhaahhaaa nachekaga na comments zako.sana...lol..bujibuji nimefahamiana nae wakat nna 20yrs imagine😀😀!..alikua anatuvunja mbavu balaa..ati Sasa hivi naskia ni mzee wa upako type 3!🤭Dah...nami siachi kukesha kusali na kuomba ili ufanikiwe mkuu..sisi ni ndugu.....tuko pamoja [emoji2960]
🤸🤸🤸🤸Nimpe mchungaji anunue hammer wakati mie hata verrosa Sina ah wapi!Vitu vyote ni mali ya Bwana
😂😂😂 Natania sikwenda..siyo mambo yangu yaleNipe mrejesho sasa jamaniih, ilikuaje
mi ni mzembe jamani😫Dah...huo uzembe Sasa [emoji2960]
nilipomuomba nauli hakugeuka nyuma😂😂Wimbo huo😅😅😅
Kwani siku ile hamkuyajenga we nae😅😅
mweeeTena wa kiwango cha lami aise
hadi wewe😳😳madam ulimuomba nini??😅😅hata kama ingekuwa ni mimi ningekula kona kali mno aise..
Popote alipo ninampongeza sana..
my ribs😂😂😂😂😂😅😅hadi mimi ndio
Sipendi kuwa Juma kaseja na mimi sitaki Juma kaseja .huo ndo utaratibu wangu.
Kwahilo siwezi kukusapoti😅😅
kinawezekana na mi nimekitamaniHakiwezekani au 😃😃😃😃
Unaendeleaje lkni