It’s already wikend huh....

It’s already wikend huh....

Choka mbaya, tulikuwa shambani siku nzima, huo mda wa kwenda cab saivi nani anao, ngoja kwanza tubanane, Magu kasema!!
🤣🤣🤣🤣basi agizien mkunywe hapo home huku ukimkumbushia jinsi usumbufu aliouleta wakati unamuimbisha songi enzi hizo bado vijana🤣🤣
 
Weekend zinakuja fasta kushinda week days😁😁😁😁😁😂😂😂
🤣🤣ukiwa vizuri wikend haikawii..

Sasa ngoja uwe vibaya😅😅😅utapata ugonjwa wa huzuni na kuwa na hasira kwa muda mfupi🤣🤣maisha haya
 
😅😅😅ijumaa yangu inakuja inakata,inakuja inakata🤣🤣🤣hata siielewi elewi bado naendelea kuizoom tu 🧐🧐🧐🧐🧐

Yako ikoje? Umepanga kwenda wapi leo?kuwatch movie,ball,kuruka kwanja,kuchil na bae home,kupiga vyombo🥃home au unatoka na washkaji,ikoje!

😅😅😅au na wewe yako huielewi kama yangu😎😎

View attachment 1530187🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂
Mbona umechelewa wewe mi nipo huku
 
Back
Top Bottom