Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
ngoja kwanzaUkiendekeza hizo ribs utakata moto😃🤣🤣🤣🤣🤣ohooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ngoja kwanzaUkiendekeza hizo ribs utakata moto😃🤣🤣🤣🤣🤣ohooo
Nilitaka nishangae hapo sasa uwiiiiiiiiiih[emoji23][emoji23][emoji23] Natania sikwenda..siyo mambo yangu yale
Usijariiiih hiyo ni case ndogo sana kwangu, unaletewa tulia hapo hapo.Wacha weee...usisahau kuniletea greek salad plz..waambie waweke black olives kwa wingi[emoji122]
Ule mnara wa babeli ungekuwa umekamilika tungeandamana kwenda kupinga uzeeUzee mbaya sana, wengine wanataka kutoka wengine tunajiandaa kulala.
ntakiweza vizuri tu labda kwenye kushiba ndo heka heka😂😂Utakiweza??ngoja cocastic alete.
Ila kwa wewe unaependa nyama hiyo sidhani kama utashibaView attachment 1530957
Bora umesema mkuu, uzee mbaya sana.Ule mnara wa babeli ungekuwa umekamilika tungeandamana kwenda kupinga uzee
Naisubiria game ya athletico de MadridOhoo kumbe...
Hta mpira hujaenda angalia
Huhuuuu.....🥰 asante sana kaka BehaviouristNampenda sana dada Chakorii!
Woyooooooooh mam me to [emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]Wooooozaaaahhhhh..ndo mana nakupendaga sana[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji1635][emoji1635][emoji1635]
Atakula hivyo hivyo, awe mpoleeeh lolUtakiweza??ngoja cocastic alete.
Ila kwa wewe unaependa nyama hiyo sidhani kama utashibaView attachment 1530957
Poaz, nimekumiss hapaOhoooo my dear....mambo!!!!
Nipo wewe sikuoni kule sikuhizi...😅😅😅kwanza ulipotelea wapi??
Naendelea, poa mpenzi!!Umadimika aise 🙆♀️🙆♀️🙆♀️Unaendelaje