Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutaonana my dear.Kwa sasa hatupo..tutarudi mda si mrefu sana
OkayJambo la kheri..
Ahahahah yeah!!Bado upo pale!!kuna siku nilipita pale nikakukumbuka nachek simu namba siioni ikabidi niwe mpole
Kabisaaaah mamNa kweli kbisa
Bwana atatendaí ¾í´¸í ¾í´¸í ¾í´¸í ¾í´¸Nimpe mchungaji anunue hammer wakati mie hata verrosa Sina ah wapi!
Ana chura?!Nampenda sana dada Chakorii!
Una uzee gani wewe....?🤣🤣🤣🤣🤣🤣Enzi zangu nakumbukia nilikua nalala na kabukta...juu katop Fulani...khaaa umri na majukumu yanavonisonga najikuta nalala na manguo kma naenda msibani...au maiti kbs!yaani uzee ni janga ...enzi Hizo unaskiza Nigerian songs huku unakaanga tumayai umpe mume Sasa hivi ni radio ya dini 24/7 ukisikia mahubiri unaongeza sauti kbs..na nyimbo za kurudi kwa Yesu full kutishwa🤸🤸🤸🤧🤧!
Kaniki ntaanza soon kuvaa😀😀
Mimi nitasema don't post anything at all, wajue umekufa.[emoji28][emoji28][emoji28]ijumaa yangu inakuja inakata,inakuja inakata[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hata siielewi elewi bado naendelea kuizoom tu [emoji3166][emoji3166][emoji3166][emoji3166][emoji3166]
Yako ikoje? Umepanga kwenda wapi leo?kuwatch movie,ball,kuruka kwanja,kuchil na bae home,kupiga vyombo[emoji1634]home au unatoka na washkaji,ikoje!
[emoji28][emoji28][emoji28]au na wewe yako huielewi kama yangu[emoji41][emoji41]
View attachment 1530187[emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635]
Am aged!..usichana umeisha...Una uzee gani wewe....?
Acha basi kututisha, kwa uzee upi ulionao bwana! Hardly 35 na hapo nimekupendelea sana!!Am aged!..usichana umeisha...
Mdogo wangu bwana!...Vita vya Kagera mwenzako najifunza kuandika ..Acha basi kututisha, kwa uzee upi ulionao bwana! Hardly 35 na hapo nimekupendelea sana!!
Kama mvinyo utamu unaongezeka na ageAm aged!..usichana umeisha...
Na mimi nasubiri jibu kwa hamu,huyu hapendi mtu bila chura.RRONDO Behaviourist akikujibu nitag tafadhali😎😎
Wacha weee..😅😅kumbeeeNa mimi nasubiri jibu kwa hamu,huyu hapendi mtu bila chura.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]you wish!!Mdogo wangu bwana!...Vita vya Kagera mwenzako najifunza kuandika ..