Its Confirmed: Mourinho will be MAN UTD Manager

CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE .
 
njoo babu lowasa uwape pressure na wajue nn maaana ya uongozi bora na demokrasia....wanaongoza nchi kama bendi ya mziki vile mwenye bendi akifa na bendi inapotea kabisa
 
Kumtumia Lowasa kujenga chama ni sahihi lakini si kwa kutembea nchi nzima.
Lowasa alikuwa CCM na kuna madhila wanayopata wananchi ambayo alishiriki katika kuyajenga through collective responsibility.
Si wazo zuri kumtumia kila mahali ila anatakiwa awe mwana mkakati na kazi ya kueneza Chama wapo kina Lema,Msigwa,Mdee na wengine wengi.
Kokote Lowasa atakapokwenda atawapa nafasi kitengo cha propaganda cha CCM kumshukia.
Tukumbuke wananchi wetu wanabadili msimamo kwa jambo dogo mno.
 
ALIPOKUWA CCM MLIKUWA MNAWAAMBIA WANANCHI KWAMBA AMELETA MAENDELEO SANA MONDULI. SASA SIJUI KAYAONDOA HAYO MAENDELEO BAADA YA KWENDA UPINZANI?
Ingekua tu nasema hvy basi tungrmpa ugombea urais Lakin kwa kuwa tulikwisha mpima kwamba ni mzigo tu asiye na dira ya maendeleo ndo maana tukamkata ndo akapokelewa na wenzie wenye mitazamo na upeo mdg kama wake

But mkuu jitahd fika monduli ukaone maajab
 


Hahah mmehamia 2020 baada ya kutoka 2000-2005-2010-2015 na sasa 2020 umesahau neno moja oktoba 2020 CCM out!
 
kwa hiyo kumbe hamjawahi kumsifu kwa lolote? acheni UNAFIKI wa KIKE mkuu.
 



EXCLUSIVE BY MATT LAWTON: Jose Mourinho was paid a staggering £4million by Manchester United not to take a job elsewhere while they decided the future of Louis van Gaal. An agreement was reached midway through the season to give United the option of bringing him in if Louis van Gaal failed to meet their targets. Sportsmail can also reveal that Mourinho refused to accept a 'behavioural clause' in his five-year, £75m deal despite concerns among the United hierarchy over his eccentric touchline behaviour.
 
mkuu ulitakaje mkuu? ina maana bado hujaona impact ya Lowassa katika UKAWA? you must be lunatic!
 
Aje hata Mkwasa lakini Van Gaal aende, kocha gani misimu miwili hana first eleven!
 
Ng'ombe wa maziwa
Jamaa siku nyingi hawajanywa maziwa fresh ndo rizk yao tena imefika, tunamuombea asikwame ktk kutembelea nchi mzima watu wafaidike
 
Wakazi wa Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma wakiwa kwenye foleni ya kununua sukari katika duka la jumla lililopo kando ya Barabara ya Sokoine mjini Songea mwishoni mwa wiki. Bei ya sukari imepanda kutoka Sh 2,000 hadi kufikia Sh 5,500 kwa kilo mkoani humo kutokana na kuadimika kwa bidhaa hiyo. (Chanzo: Habari Leo).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…