Its my Birthday today...

Its my Birthday today...

Ameen... Thank you grand-pa...! U a so sweet.

We Mkare hebu naomba unisomee kwa sauti afu unitafsirie kwa ki-Nyerere hapo kwenye red......wengine wote zibani masikio yenu.
 
We Mkare hebu naomba unisomee kwa sauti afu unitafsirie kwa ki-Nyerere hapo kwenye red......wengine wote zibani masikio yenu.

Ha ha ha... Babu bana....! Hapo nilikuwa nasemaje babu, kuwa una roho nzuri... Kwani babu ulifikiri mesamaje?
 
Ha ha ha... Babu bana....! Hapo nilikuwa nasemaje babu, kuwa una roho nzuri... Kwani babu ulifikiri mesamaje?

Wakati nasoma Mtambani praimare skuli standadi sree B elimu ya Mkoloni, mwalimu Mfinanga alinambia SWEET kwa kinyerere ni TAMU.

Mbona sijaona neno TAMU hapo? Hebu acha masihara bana, tafsiria babu tena....kwa sauti tafazali.
 
hongera sana mkuu kwa kufikia siku hii muhimu sana kwako. Kila la heri!
 
Wakati nasoma Mtambani praimare skuli standadi sree B elimu ya Mkoloni, mwalimu Mfinanga alinambia SWEET kwa kinyerere ni TAMU.

Mbona sijaona neno TAMU hapo? Hebu acha masihara bana, tafsiria babu tena....kwa sauti tafazali.

Ha ha ha... Yes babu, kwa tafsiri sisisi sijui inaitwa vile maana yake wewe ni mtamu, ila ki maana zaidi ndio kama kusema una roho nzuri...tehe... Babu usiniulize tena kama nimewahi kukula pliiiiiiiiiiiiiiz! Nilikuwa namaanisha hiyo ya roho nzuri
 
Wee mkare tukutane paree paree kwakuwa wewe ni odinaree ila usichukue mpango wa kando si usaree kwa kuwa watapiga kelele ili tuwadareee.

Thanx kwa mistari mkuu. Kumbe nawe mkaree kwenye hii kitu... Teh teh
 
Ha ha ha... Yes babu, kwa tafsiri sisisi sijui inaitwa vile maana yake wewe ni mtamu, ila ki maana zaidi ndio kama kusema una roho nzuri...tehe... Babu usiniulize tena kama nimewahi kukula pliiiiiiiiiiiiiiz! Nilikuwa namaanisha hiyo ya roho nzuri

hAHAHAHAHA..........Senkyu veri machi

Babu ni mtamu....orayt........mjukuu yeyote wa jinsia ya KE anayetaka kumwonja babu, aniPM

Babu anayaweka yote hayo moyoni mwake afu anarudi zake kitandani
 
hAHAHAHAHA..........Senkyu veri machi

Babu ni mtamu....orayt........mjukuu yeyote wa jinsia ya KE anayetaka kumwonja babu, aniPM

Babu anayaweka yote hayo moyoni mwake afu anarudi zake kitandani
Babu anarudi kwenye Matofali
 
hAHAHAHAHA..........Senkyu veri machi

Babu ni mtamu....orayt........mjukuu yeyote wa jinsia ya KE anayetaka kumwonja babu, aniPM

Babu anayaweka yote hayo moyoni mwake afu anarudi zake kitandani

Ha ha ha... No comment babu
 
Usikomenti chochote......babu yuko bize na avatar yako. Inamfanyia makusudi ujue.

Ha ha ha... Nitafute jioni kwenye b'day party mitaa ya kati babu uione avatar live bila chenga....
 
Ha ha ha... Nitafute jioni kwenye b'day party mitaa ya kati babu uione avatar live bila chenga....

Na hilo ndilo neno la birthday girl.........Tumshukuru Babu!!
 
Back
Top Bottom