Basi katoto kama umesoma enzi ikiwa girls school. Sie tulisoma enzi hizo ni mixture.Nimetumia tu jina machipi, its not a real location, ila ninafahamu machipi ya ifakara, nilisomaga huko machipi girls back in days
Naunga mkono hoja
Wakati naingia pale nilikuta story za akina mtatiro kuchoma bwalo na kufanya vurugu, ikapelekea uongozi kuhamishia boys wote kilosa shule ikabaki ya girls tupu, sema ni kama haikusaidia maana tulipokua form five, girls wa form six walikua wakorofi kila siku migomo mpaka wakachoma tena shule ikafungwaBask katoto kama umesoma enzi ikiwa girls school. Sie tulisoma enzi hizo ni mixture.
Wala hiyo haikuwa sababu ya kuhamisha wanaume. Halafu enzi za Mtatiro wala hakuna mgomo uliwahi kutokea. Uchomaji ulitokea kipindi cha nyuma kabla hata hajajiunga hapo.Wakati naingia pale nilikuta story za akina mtatiro kuchoma bwalo na kufanya vurugu, ikapelekea uongozi kuhamishia boys wote kilosa shule ikabaki ya girls tupu, sema ni kama haikusaidia maana tulipokua form five, girls wa form six walikua wakorofi kila siku migomo mpaka wakachoma tena shule ikafungwa
Hongera kwa kuzeekaNinamshukuru Mungu kwa kuiona siku ya leo nikiwa na afya na uzima, ninegundua kwamba uzee unaniandama maana mpaka sura imeanza kuota makunjo
What makes me happy ni kwamba leo June 15 tunaugawa mwaka katikati kabisa bila kupunja upande mmoja, what a blessing kuzaliwa siku kama ya leo.
Wale wenzangu June babies lets celebrate, msisahau kumrudishia Muumba sifa na Shukrani
Mimi nasherekea na wajukuu zangu huku shamba, tunachoma mahindi na kula maparachichi.
Karibuni.
Machipi ni wapi? Kutoka Bwiko hadi Machipi ni mbali sana?Thank you rafiki, tunacelebrate hapa Machipi mkuu, karibu sana
Nimeona Machupi 😢😢Thank you rafiki, tunacelebrate hapa Machipi mkuu, karibu sana
Thank you Abigail NabalHappy birthday brianna
Thank you joshydama, stay blessed rafikiHappy birthday Abrianna. Mungu azidi kukupa maisha marefu, afya njema na mafanikio tele.
Pamoja na kusema kwamba uzee unakunyemelea lakini kwangu mimi bado nakuoma kama binti wa miaka 18.
Ni siku yako, hivyo furahi sana.. Abrianna. Pia nitume wapi hii zawadi yangu? Bank au Tigo pesa/Mpesa?