Its My Birthday, uzee unaniandama

Its My Birthday, uzee unaniandama

Bask katoto kama umesoma enzi ikiwa girls school. Sie tulisoma enzi hizo ni mixture.
Wakati naingia pale nilikuta story za akina mtatiro kuchoma bwalo na kufanya vurugu, ikapelekea uongozi kuhamishia boys wote kilosa shule ikabaki ya girls tupu, sema ni kama haikusaidia maana tulipokua form five, girls wa form six walikua wakorofi kila siku migomo mpaka wakachoma tena shule ikafungwa
 
Wakati naingia pale nilikuta story za akina mtatiro kuchoma bwalo na kufanya vurugu, ikapelekea uongozi kuhamishia boys wote kilosa shule ikabaki ya girls tupu, sema ni kama haikusaidia maana tulipokua form five, girls wa form six walikua wakorofi kila siku migomo mpaka wakachoma tena shule ikafungwa
Wala hiyo haikuwa sababu ya kuhamisha wanaume. Halafu enzi za Mtatiro wala hakuna mgomo uliwahi kutokea. Uchomaji ulitokea kipindi cha nyuma kabla hata hajajiunga hapo.
 
Ninamshukuru Mungu kwa kuiona siku ya leo nikiwa na afya na uzima, ninegundua kwamba uzee unaniandama maana mpaka sura imeanza kuota makunjo

What makes me happy ni kwamba leo June 15 tunaugawa mwaka katikati kabisa bila kupunja upande mmoja, what a blessing kuzaliwa siku kama ya leo.

Wale wenzangu June babies lets celebrate, msisahau kumrudishia Muumba sifa na Shukrani

Mimi nasherekea na wajukuu zangu huku shamba, tunachoma mahindi na kula maparachichi.
Karibuni.
Hongera kwa kuzeeka
 
Nimeona Machupi 😢😢

Basi bila shaka mimi nipoo uzeeni tayari bila hata kuukaribisha.

Anyway api basdei Abrianna
Hahaha thank you my sis Karucee ila sijui umewaza nini hadi ukaona machupi, its still late afternoon
 
Happy birthday Abrianna. Mungu azidi kukupa maisha marefu, afya njema na mafanikio tele.

Pamoja na kusema kwamba uzee unakunyemelea lakini kwangu mimi bado nakuoma kama binti wa miaka 18.

Ni siku yako, hivyo furahi sana.. Abrianna. Pia nitume wapi hii zawadi yangu? Bank au Tigo pesa/Mpesa?
 
Happy birthday Abrianna. Mungu azidi kukupa maisha marefu, afya njema na mafanikio tele.

Pamoja na kusema kwamba uzee unakunyemelea lakini kwangu mimi bado nakuoma kama binti wa miaka 18.

Ni siku yako, hivyo furahi sana.. Abrianna. Pia nitume wapi hii zawadi yangu? Bank au Tigo pesa/Mpesa?
Thank you joshydama, stay blessed rafiki
 
Happy birthday Abriana..
How I wish ningekupa zawadi special leo hii
 
Back
Top Bottom