BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Lol!!!! Maccm yaweke jina langu kwenye mkeka? ππππππ yananijua mimi sina uzalendo, mchochezi na natumika na BEBERUS! Yamejitahidi kunibambikia kesi ya uhujumu uchumi ili yanitupe lupango lakini hayajafanikiwa π
π
π
π
Halafu nilijua jina lako lipo kwenye huu mkeka ila umeambulia patupu BAK Labda tusbiro pdf ya wakurugenzi