Its My Birthday, uzee unaniandama

Its My Birthday, uzee unaniandama

Whoo happy birthday dear nimechelewa kuuona uzi umezaliwa same date na 1st born wangu na my young sis kwa kweli mmebarikiwa!!
Awwww thank you Genecandy What a blessing to those birthday mates, greet them for me, Hapoy Birthday to them too, I wish them a wonderful future ahead
 
Ninamshukuru Mungu kwa kuiona siku ya leo nikiwa na afya na uzima, nimegundua kwamba uzee unaniandama maana mpaka sura imeanza kuota makunjo

What makes me happy ni kwamba leo June 15 tunaugawa mwaka katikati kabisa bila kupunja upande mmoja, what a blessing kuzaliwa siku kama ya leo.

Wale wenzangu June babies lets celebrate, msisahau kumrudishia Muumba sifa na Shukrani

Mimi nasherekea na wajukuu zangu huku shamba, tunachoma mahindi na kula maparachichi.
Karibuni.
Uishi maisha marefu sana, na Mungu akupe furaha ya kudumu, heri ya siku yako ya kuzaliwa
 
Better late rather never, sijui imenipitaje hii lakini niseme tu sijachelewa sana Abrianna Mungu azidi kukupa furaha ya maisha na mafanikio zaidi,
 
Keki ishaisha, birthdaybilikua 15th June, wewe unajileta leo unataka keki[emoji28]

[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Huu pia ni aina nyingine ya uchoyo[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Pale binti anapoutaka uzee hahahahahaha Abrianna uzee utakuja tu wewe bado sana kusema uzee unakuandama 😜😜😜
 
Halafu nilijua jina lako lipo kwenye huu mkeka ila umeambulia patupu BAK Labda tusbiro pdf ya wakurugenzi
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom