Halafu nilijua jina lako lipo kwenye huu mkeka ila umeambulia patupu BAK Labda tusbiro pdf ya wakurugenzi
Hahaha ila uvccm wanalia, kuna mmoja yeye ni kindakindaki aliwahi niketea hadi vitenge vya ccm nikaamua kumtandikia mbuzi wangu bandani, jana alikuja akaniambia kama nina connection ya kazi yotote nimuunganisha hataki kuwa mtumwa tena wa chama, nikamuuliza kulikoni akasema eti ametoa maidha yake yote kwa ajili ya chama lakini haoni futureπ , nikamwambia aende lumumba watampa connection mimi sinaLol!!!! Maccm yaweke jina langu kwenye mkeka? ππππππ yananijua mimi sina uzalendo, mchochezi na natumika na BEBERUS! Yamejitahidi kunibambikia kesi ya uhujumu uchumi ili yanitupe lupango lakini hayajafanikiwa π π π π
Hahaha ila uvccm wanalia, kuna mmoja yeye ni kindakindaki aliwahi niketea hadi vitenge vya ccm nikaamua kumtandikia mbuzi wangu bandani, jana alikuja akaniambia kama nina connection ya kazi yotote nimuunganisha hataki kuwa mtumwa tena wa chama, nikamuuliza kulikoni akasema eti ametoa maidha yake yote kwa ajili ya chama lakini haoni futureπ , nikamwambia aende lumumba watampa connection mimi sina
Samahani mkuu, sina ujamaa na uvccm, hata connection zitagoma zikijua kama ni uvccmHahahahaha lol! Mtafutie connection banaa. Wewe ni mtu wa maconnection tena makubwa makubwa atakuja kukushukuru sana ukimvusha na hili janga linaloitafuna uvccm ndani kwa ndani. Kuna wadada wawili kule Twitter mauvccm walikuwa wakinitusi sana siku hizi wamekuwa kimyaaaaa teuzi zimeota manyasi hawashoboki shoboki tena πππππ
Samahani mkuu, sina ujamaa na uvccm, hata connection zitagoma zikijua kama ni uvccm
Hongera mjukuu wanguNinamshukuru Mungu kwa kuiona siku ya leo nikiwa na afya na uzima, nimegundua kwamba uzee unaniandama maana mpaka sura imeanza kuota makunjo
What makes me happy ni kwamba leo June 15 tunaugawa mwaka katikati kabisa bila kupunja upande mmoja, what a blessing kuzaliwa siku kama ya leo.
Wale wenzangu June babies lets celebrate, msisahau kumrudishia Muumba sifa na Shukrani
Mimi nasherekea na wajukuu zangu huku shamba, tunachoma mahindi na kula maparachichi.
Karibuni.
Ndio nafuatilia RITA...[emoji2364][emoji2364]...nacho kumbuka ni kipindi cha likizo mashuleni....[emoji6][emoji854]We yako lini tushereke
kumbe upo ndugu yangu za kupoteana hivi jamaniAh leo mume anakupa special mgegedo eeh.
kumbe huwa unatembelea pande hizi hahaaaPale binti anapoutaka uzee hahahahahaha Abrianna uzee utakuja tu wewe bado sana kusema uzee unakuandama πππ
Mie nipo wee ndio unapiga chenga za mwili
hahahahaaaa nimekumiso sana ujueMie nipo wee ndio unapiga chenga za mwili
Aya basi njoo tupate lunch yale maeneo yetu leohahahahaaaa nimekumiso sana ujue
Amen dear, thanks ladyfurahia