It's time to Tanzanians say thank you Samatta - Mchezaji wa kimataifa acheza kama mwanandondo cup

It's time to Tanzanians say thank you Samatta - Mchezaji wa kimataifa acheza kama mwanandondo cup

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
Jf,
Salaam!

Huwa tunasema sana siasa - lkn leo tuseme sana mpira. Sijafahamu hitaji la wachezaji wa kitanzania - sijafahamu hitaji la kocha wa timu yetu ya taifa.

* How come mchezaji wa kimataifa kama Samatta atoke uwanjani bila shuti la golini au nje ya goli?

* How come mchezaji kama Kibu D aruhusu kupokwa mpira afu afukuze mchezaji kwa nyuma ashindwe hata kufanya faulo ili mpira utengwe?

Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024

* How come kocha afanye Sub ya Mwamnyeto (mlimzi) badala ya kuongeza washambuliaji mbele?

Timu ya Taifa inaboa sana - time to say that you kwa baadhi ya wachezaji
 
Screenshot_20241015-182248.png
 
Jf,
Salaam!

Huwa tunasema sana siasa - lkn leo tuseme sana mpira. Sijafahamu hitaji la wachezaji wa kitanzania - sijafahamu hitaji la kocha wa timu yetu ya taifa.

* How come mchezaji wa kimataifa kama Samatta atoke uwanjani bila shuti la golini au nje ya goli?

* How come mchezaji kama Kibu D aruhusu kupokwa mpira afu afukuze mchezaji kwa nyuma ashindwe hata kufanya faulo ili mpira utengwe?

Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024

* How come kocha afanye Sub ya Mwamnyeto (mlimzi) badala ya kuongeza washambuliaji mbele?

Timu ya Taifa inaboa sana - time to say that you kwa baadhi ya wachezaji
Utoto unakusumbua sana.
 
Jf,
Salaam!

Huwa tunasema sana siasa - lkn leo tuseme sana mpira. Sijafahamu hitaji la wachezaji wa kitanzania - sijafahamu hitaji la kocha wa timu yetu ya taifa.

* How come mchezaji wa kimataifa kama Samatta atoke uwanjani bila shuti la golini au nje ya goli?

* How come mchezaji kama Kibu D aruhusu kupokwa mpira afu afukuze mchezaji kwa nyuma ashindwe hata kufanya faulo ili mpira utengwe?

Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024

* How come kocha afanye Sub ya Mwamnyeto (mlimzi) badala ya kuongeza washambuliaji mbele?

Timu ya Taifa inaboa sana - time to say that you kwa baadhi ya wachezaji
Mlivyokuwa mnamlilia juzi?
 
Sasa we huoni kama team imepambana sana mpk hapo, Mimi naona shida ipo Kwa kocha ,ye anaona kabisa team ishadeda badala afanye sub waingie wachezaji wenye nguvu waje kukamia game ili mzani uendelee kubalance , mfano sub ya Dickson job na zimbwe junior ilibidi zifanyike kuongeza strong defence
 
Football is about team work GAME.
Samatta anaweza kuwa anaelekea mwishoni kupewa thank you sio mbaya Ila hata asingecheza samatta sifikirii Kama tungetoboa.

Sisi hatuna vipaji Sana katika mpira wa miguu .

So tusimuangushie jumba bovu samatta .
 
Jf,
Salaam!

Huwa tunasema sana siasa - lkn leo tuseme sana mpira. Sijafahamu hitaji la wachezaji wa kitanzania - sijafahamu hitaji la kocha wa timu yetu ya taifa.

* How come mchezaji wa kimataifa kama Samatta atoke uwanjani bila shuti la golini au nje ya goli?

* How come mchezaji kama Kibu D aruhusu kupokwa mpira afu afukuze mchezaji kwa nyuma ashindwe hata kufanya faulo ili mpira utengwe?

Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024

* How come kocha afanye Sub ya Mwamnyeto (mlimzi) badala ya kuongeza washambuliaji mbele?

Timu ya Taifa inaboa sana - time to say that you kwa baadhi ya wachezaji
LINDA FURAHA YAKO USIWEKEZE MATUMAINI YAKO KWENYE KICHWA CHA MWENDAWAZIMU..

HUZUNI ZINAZO EPUKIKA DON'T YOU🤣🤣😂😂
 
Back
Top Bottom