Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
Jf,
Salaam!
Huwa tunasema sana siasa - lkn leo tuseme sana mpira. Sijafahamu hitaji la wachezaji wa kitanzania - sijafahamu hitaji la kocha wa timu yetu ya taifa.
* How come mchezaji wa kimataifa kama Samatta atoke uwanjani bila shuti la golini au nje ya goli?
* How come mchezaji kama Kibu D aruhusu kupokwa mpira afu afukuze mchezaji kwa nyuma ashindwe hata kufanya faulo ili mpira utengwe?
Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024
* How come kocha afanye Sub ya Mwamnyeto (mlimzi) badala ya kuongeza washambuliaji mbele?
Timu ya Taifa inaboa sana - time to say that you kwa baadhi ya wachezaji
Salaam!
Huwa tunasema sana siasa - lkn leo tuseme sana mpira. Sijafahamu hitaji la wachezaji wa kitanzania - sijafahamu hitaji la kocha wa timu yetu ya taifa.
* How come mchezaji wa kimataifa kama Samatta atoke uwanjani bila shuti la golini au nje ya goli?
* How come mchezaji kama Kibu D aruhusu kupokwa mpira afu afukuze mchezaji kwa nyuma ashindwe hata kufanya faulo ili mpira utengwe?
Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024
* How come kocha afanye Sub ya Mwamnyeto (mlimzi) badala ya kuongeza washambuliaji mbele?
Timu ya Taifa inaboa sana - time to say that you kwa baadhi ya wachezaji