MUTUYAMUNGU
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 1,825
- 4,374
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 2022142Habari kama hii hata uwena degree kutoka Jalalani University huwezi kuielewa.
Sawa bossAisee sasa jifunze kuandika vizuri mkuu.
Kweli mkuu. Sasa hapo habari ipo nusu. Kwanini shahidi ameshindwa kuendelea? Hawajasema.Kuisumarize story ya kimahakama mwandishi kama siyo mwanasheria au wakili akuandalie script ni ngumu
Ya nn hii!?Kazi tunayo kama taifaView attachment 2022193
DahKazi tunayo kama taifaView attachment 2022193
Huyu ndiye editor?Kazi tunayo kama taifaView attachment 2022193
Editors mpo wapi? Au mnawaachia tu wahuni wajipostie?
Ha ha ha mkuu umemalizaEditor atoke wapi tena? Editor hawezi kutoka sayari nyingine. Editor ndio sisi hawa hawa tunaoandika xaxa badala ya sasa, cmu badala ya simu... Tumekuwa nchi ya wajinga. Kiswahili hatuwezi, Kiingereza hatuwezi na lugha za makabila yetu zinaondoka na babu na bibi zetu.
Journalism is dayingiiiiiiView attachment 2022142Habari kama hii hata uwena degree kutoka Jalalani University huwezi kuielewa.
Ndio ilibidi waandike hivi.Shahidi ameyakumbuka mamilioni yake, uchungu umemshikaa hadi ameshindwa kuendelea kutoa ushahidi[emoji1787]
Hamjaelewa Nini Sasa nyie vilaza[emoji13]
huyu kama mdogo wake Don ... 😊Huyu ndiye editor?