ITV Daima tafadhalini kwa mateso haya mnayotupa, tuombeni radhi haraka Watazamaji wenu

Tangu TVE wajiunge na huyo kibinda nkoi nimeacha kuwaangalia

Kwani Makonda ameathiri vipi mfumo wako wa maisha na wa kutafuta Pesa kwa ajili yako na Familia yako nzima? Sioni tatizo lolote kwa Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul C. Makonda na najivunia kuwa na Mkuu wa Mkoa ' mpambanaji ' kama Makonda hasa katika huu Mkoa wangu mzuri wa Dar es Salaam.

Tafadhali RC Makonda piga ' Kazi ' usitishwe na ' Mpuuzi ' yoyote tuko nyuma yako na tunakukubali 100%.
 
Mkiwa mnaogelea baharini wote mnakuwa na kimo sawa..
 

Haya mkuu,,ITV watafanyia kazi suala lako
 
ongea kwa nafsi yako "MIMI" = Mtazamaji wenu na sio Sisi watazamaji wenu. BTW namkubali kisa mwaipyana kichizi kuliko news anchor wengine hapa tanzania.
 
Aisee, hivi huwa unawaza nini hadi kuanza kuandika such detailed and analytical rubbish?
 
Kwani ungepita tu kimya kimya ingekuwaje hadi ' Ujinyegeze ' hivi Kwangu? Kunguni Jike Wewe na huyo aliye ' like ' hiyo takataka yako.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti KUNGUNII JIKE [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Pirate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…