ITV Daima tafadhalini kwa mateso haya mnayotupa, tuombeni radhi haraka Watazamaji wenu

Aisee, hivi huwa unawaza nini hadi kuanza kuandika such detailed and analytical rubbish?

Huwa nawaza tu kama vile ninavyokuwa ' nakupumulia ' Kibaiolojia huku ' Kisogo ' chako kikiniangalia na kunifurahia.
 

Kajaa mwenyewe na kama kawaida yangu nimempa ' dozi ' yake ambayo imeshamfanya hadi atulie na sasa atakuwa na adabu zote.
 
Na Julieth sauti sio laini kiasi cha kuvutia sana mkuu vipi wakati bi Fatma Almas Nyangasa si ndio ulikuwa hata maneno huyasikii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unasifia watu kwa kuona wakiwa wamepaka poda na mataa yale huku wakionekana sura tu?
 

Dah..inawezekana mwenzetu tayari, au ni dalili...
 
ITV daima watakutesa daima!........believe me![emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mmoja hapo nimepiga sana akiwa chuoni...!

Wabillah Tawfiq,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…