ITV ilipofunguliwa mwaka 1994

ITV ilipofunguliwa mwaka 1994

Ni kweli ila kuna ile kitu tunaita voice quality Gondwe kawazidi wengi hasa akiwa anatangaza

Sauda na Betty walikuwa watangazaji wa kawaida sidhani hata kama wanamfikia Fatma Almasi Nyangasa hasa usahihi na shauku katika usomaji

Halafu Godwin Gondwe kaja juzi tu hapa 2000, kulikuwa na Julius Nyaisanga ,John Ngayoma in the 1990s.
 
Aliupamba utoto wa wengi kwa Katuni kama Scooby Doo, Double Dragons ya Billy na pacha mwezie na The Shadow Master [emoji3] , Popeye and Son wazee wa Spinach [emoji3], halafu kulikua na the flintstones[emoji3][emoji3] wanakwambia Iyebedebedooooooooo

Sent from my Redmi Note 5 using JamiiForums mobile app

Katuni za maana. Zamani mambo yalikuwa yametulia.
 
Kampuni ya IPP Limited mwaka 1994 inatambulisha chaneli ya Analog kwa jina ITV kupitia masafa ya mawimbi ya kawaida kipindi hiko.

Na kipindi hiko ndio mtaa mzima tumenunua TV ya PANASONIC TX iliyotoka 1993 sikumbuki model ikiwa ya rangi.

Kipindi hiko Tv inafunguliwa saa 8 au 10 sikumbuki ila inafungwa saa sita usiku.

Ndipo nilipo jua series kama:
*Family Matters
*Perfect Strangers
*fresh prince of bel air
*The V

Na matangazo kama :
*Revlon
*cocal cola

Kipindi hiko unaamka usiku kushuhudia ngumi za Mike Tyson.

Ila kuna dada mmoja ni kama mwarabu au muhindi fulani alikuwa ndo mtu wa kwanza ITV wanafungua ndo anaonekana sana. Hivi yupo wapi miaka 30 sasa.

Wenye kuijua ITV vizuri

[mention]pasco mayala [/mention] ni moja ya watu wenye kuijua ITV
Kuna tamthilia ilikuwa inaitwa the neighbors...lenolens mzee wa pikipiki..tangazo la mafuta ya korie dogo mmoja anabugia vitumbua n.k
 
Mkuu kulikuwa na kibinti fulani kilikuwa shombe ITV kilikiwa sijui kinamalizia mimi ni sharifa tatadoo wa ITV hata sijui kama nimepatia jina, unakikumbuka.
Basi enzi hizo sisi tulikuwa tunadhani kila mtoto mzuri anayetokea kwenye tangazo ni mtoto wa mengi.
Kulikuwa na tangazo la revora soap.
Demu anaoga kwenye jacuz, anaambiwa tueleze siri ya mafanikio yako, anajibu sio siri ni revora. Sijui anaendelea kwani moisture yake ni tulivu na huniweka fresh mchana kutwa.
Nilikuwa nadhani mtoto wa mengi na nilikuwa kid ila namwelewa kinoma
ngoja nikusaidie kumalizia hilo tangazo..."revora peke yake? ndio,kwani maisha yake ni utulivu na huniweka fresh mchana kutwa"
 
Back
Top Bottom