ITV ilipofunguliwa mwaka 1994

Nakumbuka enzi hizo nimemaliza la saba, tunaishi kurasini shimo la udongo. Mshua alikuwa tra alinunua hitach flani hivi mtaa mzima tv ilikuwepo kwetu tu. Na ilikuwa unailipia kila mwaka sijui kama ilivo bunduki.
Mmmh hii sikupata kusikia.
Au mlikuwa mnalipia Cable TV yaani huduma ya kupata matangazo ya TV stations kupitia cable?
TV kwa maana ya ile device sidhani kama iliwahi kulipiwa kwa mtindo huo.
Nasubiri majibu ya wengine.
 
Kabla ya TVT na STAR TV kulikuwa na CTN, DTV na CHANEL TEN
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…