ITV ilipofunguliwa mwaka 1994

ITV ilipofunguliwa mwaka 1994

Kampuni ya IPP Limited mwaka 1994 inatambulisha chaneli ya Analog kwa jina ITV kupitia masafa ya mawimbi ya kawaida kipindi hiko.

Na kipindi hiko ndio mtaa mzima tumenunua TV ya PANASONIC TX iliyotoka 1993 sikumbuki model ikiwa ya rangi.

Kipindi hiko Tv inafunguliwa saa 8 au 10 sikumbuki ila inafungwa saa sita usiku.

Ndipo nilipo jua series kama:
*Family Matters
*Perfect Strangers
*fresh prince of bel air
*The V

Na matangazo kama :
*Revlon
*cocal cola

Kipindi hiko unaamka usiku kushuhudia ngumi za Mike Tyson.

Ila kuna dada mmoja ni kama mwarabu au muhindi fulani alikuwa ndo mtu wa kwanza ITV wanafungua ndo anaonekana sana. Hivi yupo wapi miaka 30 sasa.

Wenye kuijua ITV vizuri

[mention]pasco mayala [/mention] ni moja ya watu wenye kuijua ITV
Uzi mzuri...
 
download (1).jpeg
 
Kampuni ya IPP Limited mwaka 1994 inatambulisha chaneli ya Analog kwa jina ITV kupitia masafa ya mawimbi ya kawaida kipindi hiko.

Na kipindi hiko ndio mtaa mzima tumenunua TV ya PANASONIC TX iliyotoka 1993 sikumbuki model ikiwa ya rangi.

Kipindi hiko Tv inafunguliwa saa 8 au 10 sikumbuki ila inafungwa saa sita usiku.

Ndipo nilipo jua series kama:
*Family Matters
*Perfect Strangers
*fresh prince of bel air
*The V

Na matangazo kama :
*Revlon
*cocal cola

Kipindi hiko unaamka usiku kushuhudia ngumi za Mike Tyson.

Ila kuna dada mmoja ni kama mwarabu au muhindi fulani alikuwa ndo mtu wa kwanza ITV wanafungua ndo anaonekana sana. Hivi yupo wapi miaka 30 sasa.

Wenye kuijua ITV vizuri

[mention]pasco mayala [/mention] ni moja ya watu wenye kuijua ITV
Nafikiri kila mkoa waliwekewa li-itv likubwa uwanjani tulikua tunaenda kuangalia tausi 😂😂😂
 
Shyrose Bhanjia alikuwa TBC kama sikosei
Mkuu kulikuwa na kibinti fulani kilikuwa shombe ITV kilikiwa sijui kinamalizia mimi ni sharifa tatadoo wa ITV hata sijui kama nimepatia jina, unakikumbuka.
Basi enzi hizo sisi tulikuwa tunadhani kila mtoto mzuri anayetokea kwenye tangazo ni mtoto wa mengi.
Kulikuwa na tangazo la revora soap.
Demu anaoga kwenye jacuz, anaambiwa tueleze siri ya mafanikio yako, anajibu sio siri ni revora. Sijui anaendelea kwani moisture yake ni tulivu na huniweka fresh mchana kutwa.
Nilikuwa nadhani mtoto wa mengi na nilikuwa kid ila namwelewa kinoma
 
Daaah unanikumbusha those days ninakula ugali wa baba na mama sikua na stress za sijui kodi, sijui bili za maji umeme,kabisa kucheki hizo comedy familiy matters, bill cosby, robocop, na nyingine nyingi, baada ya hapo naingia bed kulala huku nikila ngoma tamu kwenye redio mzee alinipa either ni flash backs, bongo fleva, R&B toka Redio free Africa huku kwa nje kuna Kamvua Mvua mwanana kananisindikiza usingizi wangu!
RIP my parents Mwenyezi Mungu awape Pumziko Jema,
Beautiful old days...daah sema tu maisha hayarudi nyuma
 
Back
Top Bottom