ITV ilipofunguliwa mwaka 1994

ITV ilipofunguliwa mwaka 1994

Kampuni ya IPP Limited mwaka 1994 inatambulisha chaneli ya Analog kwa jina ITV kupitia masafa ya mawimbi ya kawaida kipindi hiko.

Na kipindi hiko ndio mtaa mzima tumenunua TV ya PANASONIC TX iliyotoka 1993 sikumbuki model ikiwa ya rangi.

Kipindi hiko Tv inafunguliwa saa 8 au 10 sikumbuki ila inafungwa saa sita usiku.

Ndipo nilipo jua series kama:
*Family Matters
*Perfect Strangers
*fresh prince of bel air
*The V

Na matangazo kama :
*Revlon
*cocal cola

Kipindi hiko unaamka usiku kushuhudia ngumi za Mike Tyson.

Ila kuna dada mmoja ni kama mwarabu au muhindi fulani alikuwa ndo mtu wa kwanza ITV wanafungua ndo anaonekana sana. Hivi yupo wapi miaka 30 sasa.

Wenye kuijua ITV vizuri

[mention]pasco mayala [/mention] ni moja ya watu wenye kuijua ITV
Nakumbuka enzi hizo nimemaliza la saba, tunaishi kurasini shimo la udongo. Mshua alikuwa tra alinunua hitach flani hivi mtaa mzima tv ilikuwepo kwetu tu. Na ilikuwa unailipia kila mwaka sijui kama ilivo bunduki.
 
Kampuni ya IPP Limited mwaka 1994 inatambulisha chaneli ya Analog kwa jina ITV kupitia masafa ya mawimbi ya kawaida kipindi hiko.

Na kipindi hiko ndio mtaa mzima tumenunua TV ya PANASONIC TX iliyotoka 1993 sikumbuki model ikiwa ya rangi.

Kipindi hiko Tv inafunguliwa saa 8 au 10 sikumbuki ila inafungwa saa sita usiku.

Ndipo nilipo jua series kama:
*Family Matters
*Perfect Strangers
*fresh prince of bel air
*The V

Na matangazo kama :
*Revlon
*cocal cola

Kipindi hiko unaamka usiku kushuhudia ngumi za Mike Tyson.

Ila kuna dada mmoja ni kama mwarabu au muhindi fulani alikuwa ndo mtu wa kwanza ITV wanafungua ndo anaonekana sana. Hivi yupo wapi miaka 30 sasa.

Wenye kuijua ITV vizuri

[mention]pasco mayala [/mention] ni moja ya watu wenye kuijua ITV
Dahhh!! Umri Umeenda asee
 
Screenshot_20230111-202023_YouTube.jpg
 
Daaah unanikumbusha those days ninakula ugali wa baba na mama sikua na stress za sijui kodi, sijui bili za maji umeme,kabisa kucheki hizo comedy familiy matters, bill cosby, robocop, na nyingine nyingi, baada ya hapo naingia bed kulala huku nikila ngoma tamu kwenye redio mzee alinipa either ni flash backs, bongo fleva, R&B toka Redio free Africa huku kwa nje kuna Kamvua Mvua mwanana kananisindikiza usingizi wangu!
RIP my parents Mwenyezi Mungu awape Pumziko Jema,
Beautiful old days...daah sema tu maisha hayarudi nyuma
Back then where blackberries and apples were fruits not gadgets.
Mimi nawaambia madogo na mwanangu, utoto ni raha yani kama una wazazi wanaokujali hata kama kipato cha kawaida, huna stress. Ubaya haujirudii. Rip mzee wangu, nilianza mwelewa nilivyopata mtoto.
 
Kampuni ya IPP Limited mwaka 1994 inatambulisha chaneli ya Analog kwa jina ITV kupitia masafa ya mawimbi ya kawaida kipindi hiko.

Na kipindi hiko ndio mtaa mzima tumenunua TV ya PANASONIC TX iliyotoka 1993 sikumbuki model ikiwa ya rangi.

Kipindi hiko Tv inafunguliwa saa 8 au 10 sikumbuki ila inafungwa saa sita usiku.

Ndipo nilipo jua series kama:
*Family Matters
*Perfect Strangers
*fresh prince of bel air
*The V

Na matangazo kama :
*Revlon
*cocal cola

Kipindi hiko unaamka usiku kushuhudia ngumi za Mike Tyson.

Ila kuna dada mmoja ni kama mwarabu au muhindi fulani alikuwa ndo mtu wa kwanza ITV wanafungua ndo anaonekana sana. Hivi yupo wapi miaka 30 sasa.

Wenye kuijua ITV vizuri

[mention]pasco mayala [/mention] ni moja ya watu wenye kuijua ITV
Home ilikuwa Kuangalia Tv basi ni ITV na Radio ni Radio one..
Katika vipindi ambavyo kilikuwa kinatukutanisha pamoja ni Isidingo.. Dahhh!!Mzee ameweza ameangalia episodes zote hadi imeisha🤣🤣🤣
 
Back then where blackberries and apples were fruits not gadgets.
Mimi nawaambia madogo na mwanangu, utoto ni raha yani kama una wazazi wanaokujali hata kama kipato cha kawaida, huna stress. Ubaya haujirudii. Rip mzee wangu, nilianza mwelewa nilivyopata mtoto.
True broo! Yaani daah hii thread imenirudisha mbali sana enzi hizo daah, basi tu kwa vile maisha hayarudi tena
 
Nimekumbuka the bold and the beautiful hiyo miaka ya 90, kulikuwa na tamthlia ya sunset beach, mara acapulco bay.

Mwendo wa kugeuza antena hapo, inaonyesha, geuza huko huko, aaaaah umeharibu rudisha upande wa mwanzo bado.

Pia sitosahau RFA walipozindua masafa ya FM nilikuwa bado mdogo sana nakumbuka bro wangu anaongea na rafiki yake kuhusu RFA na FM sikujua hata ni kitu gani ila kuanzia siku hiyo nikawa nasikia redio inazungumza vizuri.
Hizo 3 ulizotaja hadi miaka ya 2000 mwanzoni zilikuwepo
 
Back
Top Bottom