ITV ilipofunguliwa mwaka 1994

ITV ilipofunguliwa mwaka 1994

Yule mzee alikuwa anaitwa Alfred Nitwa
Unachanganya.....

Kulikuwa na Albert Nitwa na Reinfred Masako....

Masako huyu nakumbuka ndo alikuwa akitangaza maombolezo ya Baba wa Taifa, wakati ITV ikirusha mubashara matangazo Yale....
 
Enzi hizo kuna kipindi radio one kinaitwa the heat sikosei, utasikia bongo fleva zote kipindi hicho Mr 2 ndio anatoka na nyimbo zake za Yamenikuta, Utaitwaje tozi shule kama huwezi imba mistari ya sugu? Hahahhaa
Kuna ile nani zaidi, Jumapili hapo, Alipambanishwa Buju Banto na Shaba Ranks Asee kete zote za moto pambano likawa droo ikabidi lirudiwe tena Siku nyingine Mnaikumbuka hii?
Radio station za siku hzi ukifungulia stori tuuu za watangazaji hazina mvuto tena.
BIG FACT
 
Mkuu kulikuwa na kibinti fulani kilikuwa shombe ITV kilikiwa sijui kinamalizia mimi ni sharifa tatadoo wa ITV hata sijui kama nimepatia jina, unakikumbuka.
Basi enzi hizo sisi tulikuwa tunadhani kila mtoto mzuri anayetokea kwenye tangazo ni mtoto wa mengi.
Kulikuwa na tangazo la revora soap.
Demu anaoga kwenye jacuz, anaambiwa tueleze siri ya mafanikio yako, anajibu sio siri ni revora. Sijui anaendelea kwani moisture yake ni tulivu na huniweka fresh mchana kutwa.
Nilikuwa nadhani mtoto wa mengi na nilikuwa kid ila namwelewa kinoma
Ni Rehema Salim. Siku hizi yuko Azam.
 
Itv wanastahili kupewa super brand, maana ilifika wakati ikawa kama tv ya taifa kwa ubora wa muonekano na vipindi japo baadaye ikaja star tv na tvt. Kwa sasa itv bado iko vizuri ila hakuna mabadiliko makubwa kidigitali kama azam tv waliokuja kwa kasi ya ajabu kwenye soko la media. Azam kaongeza chaneli nyingi kuliko itv. Hata hivyo itv bado inatazamwa na watazamaji wengi wa taarifa ya habari
Azam hakuna kitu ni ujinga tu waubagizi wa dinihawajielewi,mengi hajawahi wanagua waislam kama huyotu wenu wa azam
 
Apumzike kwa amani Reginald Mengi. Exposure yake na uthubutu wake katika kuwekeza akaja na copy ya ITV kutoka Uingereza.
Nakumbuka sana tangazo la sabuni Revola la Miriam Odemba kama anaoga flani kwenye Jacuzzi yupo na kitaulo tuu, basi unapata moto unatoka sebleni unaenda kupiga puchu😁
Alikuwa na balaa yule mwanamke sio uzuri ule.
 
PANASONIC TX
Sisi tulinunua JVC deki ndio tukanunua hio Panasonic mikanda ya kuzungusha enzi hizo hakuna deki za Cd Wala flash
Screenshot_20230308-011343.png
 
Daaah ITV ilitufaa sana...
1. Acapulco Bay
2. The Bold and the Beautiful
3. Isidingo the need
4. Passions
5. The V
6. Family Matters
7. Fresh Prince of Bel Air
8. Friends
9. Mortal Kombat Conquest
10. The Crow
11. Earth: The Final Conflict
12. Mutant X
13. Beast Master
14. Walker Texas Ranger
15. Pointman
16. La Femme Nikita
17. Journey to the West a.k.a The Monkey King
18. Robocop
19. WWF Smackdown

Rest in Peace Mzee Mengi
 
Aisee badhii nakumbuka baadhi hapana PointmanLa Femme Nikita Beast Master The Crow Earth Mutant X hizi sizikumbuki nilikuwa kababy sana na 3 sijui 4
 
Back
Top Bottom