johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hakika bwashee!Super brand Afrika Mashariki
TrashHongera ya Nini....Kuna lolote wamefanya kufikia hatua hii.Hapo wa kupokea sifa ni Mungu aliyehai !
Mungu aliyafanya hadi mmojammoja aanze kubadilika.Hongera ya Nini....Kuna lolote wamefanya kufikia hatua hii.Hapo wa kupokea sifa ni Mungu aliyehai !
Jana ITV walimualika kamanda wa Chadema Dr Marcus Albanie kwenye kipindi cha Kipima Joto kilichohudhuriwa pia nu CAG mstaafu CPA Uttoh
Kwa kipindi kirefu makamanda wa Chadema hawajaonekana katika vipindi vya Malumbano ya Hoja na Kipima Jotto kama tulivyozoea na badala yake wamekuwa wakialikwa makada waliokosa teuzi pekee ili wauze nyago.
Hongereni ITV na hasa Isack Mpayo na Julieth Robert.
Ramadhan Kareem!
Umefufuka bro? Dikteta kaondoka, alikusababishia ukabadili upepo, ukaanza kusifu na kuabudu nawewePHongera ITV kumhoji Tundu Lissu. Hongera sana Tundu Lissu kuzungumza kistaarabu kwa lugha za staha. Ruksa kuhisi chochote, sio fair kutaja majina!
Wanabodi, Hili ni bandiko la pongezi kwa ITV kuwa ndio the first mainstream TV Station kumhoji Tundu Lissu. Huu ni mwanzo mzuri, TV nyingine zifuate. Pia nampongeza Mhe. Tundu Lissu kuzungumza kistaarabu, ametumia lugha za staha, amemwaga sera. Kati ya freedom zote, freedom ambayo ni absolute...www.jamiiforums.com
Una nia njema sana na nchi yako.Jana ITV walimualika kamanda wa Chadema Dr Marcus Albanie kwenye kipindi cha Kipima Joto kilichohudhuriwa pia nu CAG mstaafu CPA Uttoh
Kwa kipindi kirefu makamanda wa Chadema hawajaonekana katika vipindi vya Malumbano ya Hoja na Kipima Jotto kama tulivyozoea na badala yake wamekuwa wakialikwa makada waliokosa teuzi pekee ili wauze nyago.
Hongereni ITV na hasa Isack Mpayo na Julieth Robert.
Ramadhan Kareem!
Kaka Marcus is real brain assetJana ITV walimualika kamanda wa Chadema Dr Marcus Albanie kwenye kipindi cha Kipima Joto kilichohudhuriwa pia nu CAG mstaafu CPA Uttoh
Kwa kipindi kirefu makamanda wa Chadema hawajaonekana katika vipindi vya Malumbano ya Hoja na Kipima Jotto kama tulivyozoea na badala yake wamekuwa wakialikwa makada waliokosa teuzi pekee ili wauze nyago.
Hongereni ITV na hasa Isack Mpayo na Julieth Robert.
Ramadhan Kareem!
Mfu angekuwa angekuwepo hata kuwaza kumharika wasingewaza.Jana ITV walimualika kamanda wa Chadema Dr Marcus Albanie kwenye kipindi cha Kipima Joto kilichohudhuriwa pia nu CAG mstaafu CPA Uttoh
Kwa kipindi kirefu makamanda wa Chadema hawajaonekana katika vipindi vya Malumbano ya Hoja na Kipima Jotto kama tulivyozoea na badala yake wamekuwa wakialikwa makada waliokosa teuzi pekee ili wauze nyago.
Hongereni ITV na hasa Isack Mpayo na Julieth Robert.
Ramadhan Kareem!
Kati ya watu walioshusha hadhi yao ya kuaminika tena Tanzania ni huyu Mayala. Tatizo la huyu ni kwamba anapendaga kuaminika kila upande na hata ukisikiliza hoja zake, hawezi kuonyesha kwa ujasiri kuwa upande fulani una makosa kwa asilimia mia moja. Huyu naamini hata marehemu ndiyo maana alishindwa kumwaaminiUmefufuka bro? Dikteta kaondoka, alikusababishia ukabadili upepo, ukaanza kusifu na kuabudu nawewe
More than trash,its garbageTrash
Kipindi cha mwendazake super brand ilibaki jina tuSuper brand Afrika mashariki
Huyu nguli nae dish haliko sawaUmefufuka bro? Dikteta kaondoka, alikusababishia ukabadili upepo, ukaanza kusifu na kuabudu nawewe
Ilikuwa Toothless Bull Dog.Kipindi cha mwendazake super brand ilibaki jina tu
Ka Paskali Mayalla ni ka port kangu lakini kajinga sana, enzo za marehemu kalijikuta kanaimba nyimbo za kusifu na kuabudu bila kupenda!Umefufuka bro? Dikteta kaondoka, alikusababishia ukabadili upepo, ukaanza kusifu na kuabudu nawewe
Kipindi cha Jiwe ulikengeuka mkuu ukahamia upande wa kusifu na kuabudu, nisiwe mnafiki bro ulijishushia hadhi sana humu jamvini. Sidhani kama unaweza kuaminika tena na kurudia vile viwango vyako. Pascal Mayalla = Covid - 19(wale binadamu)PHongera ITV kumhoji Tundu Lissu. Hongera sana Tundu Lissu kuzungumza kistaarabu kwa lugha za staha. Ruksa kuhisi chochote, sio fair kutaja majina!
Wanabodi, Hili ni bandiko la pongezi kwa ITV kuwa ndio the first mainstream TV Station kumhoji Tundu Lissu. Huu ni mwanzo mzuri, TV nyingine zifuate. Pia nampongeza Mhe. Tundu Lissu kuzungumza kistaarabu, ametumia lugha za staha, amemwaga sera. Kati ya freedom zote, freedom ambayo ni absolute...www.jamiiforums.com
Kabisa mkuuIlikuwa Toothless Bull Dog.