ITV kumkaribisha Dkt. Marcus Albanie wa CHADEMA katika kipindi cha Kipima Joto ni jambo la kupongezwa

ITV kumkaribisha Dkt. Marcus Albanie wa CHADEMA katika kipindi cha Kipima Joto ni jambo la kupongezwa

Huyu Albanie ndio anatakiwa kuwa Mwenyekiti wa Chadema kuondoa vituko vilivyopo
Jana ITV walimualika kamanda wa Chadema Dr Marcus Albanie kwenye kipindi cha Kipima Joto kilichohudhuriwa pia nu CAG mstaafu CPA Uttoh.

Kwa kipindi kirefu makamanda wa Chadema hawajaonekana katika vipindi vya Malumbano ya Hoja na Kipima Jotto kama tulivyozoea na badala yake wamekuwa wakialikwa makada waliokosa teuzi pekee ili wauze nyago.

Hongereni ITV na hasa Isack Mpayo na Julieth Robert.

Ramadhan Kareem!
 
Jana ITV walimualika kamanda wa Chadema Dr Marcus Albanie kwenye kipindi cha Kipima Joto kilichohudhuriwa pia nu CAG mstaafu CPA Uttoh.

Kwa kipindi kirefu makamanda wa Chadema hawajaonekana katika vipindi vya Malumbano ya Hoja na Kipima Jotto kama tulivyozoea na badala yake wamekuwa wakialikwa makada waliokosa teuzi pekee ili wauze nyago.

Hongereni ITV na hasa Isack Mpayo na Julieth Robert.

Ramadhan Kareem!
Kulipwa posho nusu mpaka utanena kwa lugha
 
P
Sasahivi naona akili zimeanza kurudi penyewe
 
Jana ITV walimualika kamanda wa Chadema Dr Marcus Albanie kwenye kipindi cha Kipima Joto kilichohudhuriwa pia nu CAG mstaafu CPA Uttoh.

Kwa kipindi kirefu makamanda wa Chadema hawajaonekana katika vipindi vya Malumbano ya Hoja na Kipima Jotto kama tulivyozoea na badala yake wamekuwa wakialikwa makada waliokosa teuzi pekee ili wauze nyago.

Hongereni ITV na hasa Isack Mpayo na Julieth Robert.

Ramadhan Kareem!
Kwakweli ITV wamejitahidi sana kufanya kazi kwa weledi katika mazingira magumu na hatarishi katika kipindi cha awamu ya 5, hata coverage yao ya kampeni za uchaguzi walijitahidi sana "kutuibiaibia" huku na kule! Big up sana mama wa nguvu Joyce Mhavile na timu yako yote ya Super Brand Africa!
 
P
P ile ahadi ya U-DC iliota mbawa?
 
Back
Top Bottom