ITV kumkaribisha Dkt. Marcus Albanie wa CHADEMA katika kipindi cha Kipima Joto ni jambo la kupongezwa

Huyu Albanie ndio anatakiwa kuwa Mwenyekiti wa Chadema kuondoa vituko vilivyopo
 
Kulipwa posho nusu mpaka utanena kwa lugha
 
Sasahivi naona akili zimeanza kurudi penyewe
 
Kwakweli ITV wamejitahidi sana kufanya kazi kwa weledi katika mazingira magumu na hatarishi katika kipindi cha awamu ya 5, hata coverage yao ya kampeni za uchaguzi walijitahidi sana "kutuibiaibia" huku na kule! Big up sana mama wa nguvu Joyce Mhavile na timu yako yote ya Super Brand Africa!
 
P ile ahadi ya U-DC iliota mbawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…