ITV na Star TV acheni udini

ITV na Star TV acheni udini

Gaganiga

Senior Member
Joined
Nov 13, 2022
Posts
168
Reaction score
376
Hivi inakuaje TV ambao wakristo na waislamu wanaingalia kutwa kupiga nyimbo za injili hii sahihi kweli? Yaani kila siku Saa kumi na mbili asubuhi ITV na startv wao nyimbo za injili tu huuu si ubaguzi huu jameni?

Mbaya zaidi kwenye taarifa za habari au vipindi vyao watangazaji wao wanawafosi wapige salamu Maria na waseme bwana yesu asifiwe hii si haki hata kidogo.

Mjitathimini watu watawapiga chini kwa huu uzwazwa wenu.
 
Hivi inakuaje tv ambao wakristo na waislamu wanaingalia kutwa kupiga nyimbo za injili hii sahihi kweli? Yaani kila siku Saa kumi na mbili asubuhi ITV na startv wao nyimbo za injili tu huuu si ubaguzi huu jameni?

Mbaya zaidi kwenye taarifa za habari au vipindi vyao watangazaji wao wanawafosi wapige salamu Maria na waseme bwana yesu asifiwe hii si haki hata kidogo.

Mjitathimini watu watawapiga chini kwa huu uzwazwa wenu.
Nani kakulazimisha kuangalia. Kwanini usiangalie qaswida kwenye channel za waislamu? Pilipili usisozila zakuwashia nini? Si bure we ni mchawi.
 
Hivi inakuaje tv ambao wakristo na waislamu wanaingalia kutwa kupiga nyimbo za injili hii sahihi kweli? Yaani kila siku Saa kumi na mbili asubuhi ITV na startv wao nyimbo za injili tu huuu si ubaguzi huu jameni?

Mbaya zaidi kwenye taarifa za habari au vipindi vyao watangazaji wao wanawafosi wapige salamu Maria na waseme bwana yesu asifiwe hii si haki hata kidogo.

Mjitathimini watu watawapiga chini kwa huu uzwazwa wenu.
Tafuta tv ya dini yako kwanini una lazimisha wefanye kama unavo taka, hao watu ni wadini sana japo wanasema wenzao.
 
[emoji849][emoji849]mmm Itv hiii hii wapige nyimbo za gospel asubuhi? [emoji848] bora hata useme *tv wanapiga lakini nayo saa 12asubuhi huwa ni taarifa ya habari
 
Kuna runinga ya Taifa inaitwa ZANZIBAR BROADCASTING CORPORATION na siku Saba za wiki ni aya za Koran tu na waajiriwa ni akina maziku na akina kishki utadhani wao ndo waandamizi wa shirika wakibadili Sana ujue Kuna mechi ya caf au ligi ya PBZ au mashindano ya kombe la mapinduzi

Kumbuka hii NI tv ya Taifa
ZBC1
ZBC2
 
Kuna runinga ya Taifa inaitwa ZANZIBAR BROADCASTING CORPORATION na siku Saba za wiki ni aya za Koran tu na waajiriwa ni akina maziku na akina kishki utadhani wao ndo waandamizi wa shirika wakibadili Sana ujue Kuna mechi ya caf au ligi ya PBZ au mashindano ya kombe la mapinduzi

Kumbuka hii NI tv ya Taifa
ZBC1
ZBC2
Zanzibar ni inchi ya kiislamu
 
Ungekua umeshikiwa mtutu kuziangalia tungehoji..ila hujalazimishwa
 
Hivi inakuaje tv ambao wakristo na waislamu wanaingalia kutwa kupiga nyimbo za injili hii sahihi kweli? Yaani kila siku Saa kumi na mbili asubuhi ITV na startv wao nyimbo za injili tu huuu si ubaguzi huu jameni?

Mbaya zaidi kwenye taarifa za habari au vipindi vyao watangazaji wao wanawafosi wapige salamu Maria na waseme bwana yesu asifiwe hii si haki hata kidogo.

Mjitathimini watu watawapiga chini kwa huu uzwazwa wenu.
Unapiga simu kwenye tv ili umsalimie nani ambaye kwenye ukoo wenu hana simu?
 
Zanzibar ni inchi ya kiislamu
Zanzibar siyo nchi, na hata kama ingekuwa nchi siyo nchi ya KIISLAMU.
ZANZIBAR ni mkoa tu wa TANZANIA. Iliachwa kuwa nchi ili isipoteze IDENTITY yake, mara tu itakapotokea mtu mwingine asiyeithamini ZANZIBAR akiwa RAIS wa TANZANIA angeondoa uwakilishi maalum wa ZANZIBAR.
ZANZIBAR ni mkoa wenye waislamu wengi, Kuwa na waislamu wengi haina maana kuwa ni nchi ya KIISLAMU. ZANZIBAR lazima iendane na Jamhuri ya muungano wa TANZANIA (secular state). Isipojengwa kwa msingi huo basi hakuna muungano ( Ikumbukwe, muungano upo kwa mujibu wa documents zilizopo( na siyo kwa kufuata hisia za watu fulani)). Ndio maana uamusho waliwekwa ndani( Kwasababu, documents zipo na siyo suala la hisia).
 
Ngoja nione kama na huu uzi utatembea kama ule wa Azam.
Ila mimi personally sionagi noma kama kituo ni private.
 
Zanzibar siyo nchi, na hata kama ingekuwa nchi siyo nchi ya KIISLAMU.
ZANZIBAR ni mkoa tu wa TANZANIA. Iliachwa kuwa nchi ili isipoteze IDENTITY yake, mara tu itakapotokea mtu mwingine asiyeithamini ZANZIBAR akiwa RAIS wa TANZANIA angeondoa uwakilishi maalum wa ZANZIBAR.
ZANZIBAR ni mkoa wenye waislamu wengi, Kuwa na waislamu wengi haina maana kuwa ni nchi ya KIISLAMU. ZANZIBAR lazima iendane na Jamhuri ya muungano wa TANZANIA (secular state). Isipojengwa kwa msingi huo basi hakuna muungano ( Ikumbukwe, muungano upo kwa mujibu wa documents zilizopo( na siyo kwa kufuata hisia za watu fulani)). Ndio maana uamusho waliwekwa ndani( Kwasababu, documents zipo na siyo suala la hisia).
Wakati mwengine uwe unaficha ujinga wako.
 
Hivi inakuaje tv ambao wakristo na waislamu wanaingalia kutwa kupiga nyimbo za injili hii sahihi kweli? Yaani kila siku Saa kumi na mbili asubuhi ITV na startv wao nyimbo za injili tu huuu si ubaguzi huu jameni?

Mbaya zaidi kwenye taarifa za habari au vipindi vyao watangazaji wao wanawafosi wapige salamu Maria na waseme bwana yesu asifiwe hii si haki hata kidogo.

Mjitathimini watu watawapiga chini kwa huu uzwazwa wenu.
Angalia Azam tv mkurugenzi! Kule hutojutia. ZBC2, Imaan tv, nk. Ni full mawaidha.
 
Zanzibar siyo nchi, na hata kama ingekuwa nchi siyo nchi ya KIISLAMU.
ZANZIBAR ni mkoa tu wa TANZANIA. Iliachwa kuwa nchi ili isipoteze IDENTITY yake, mara tu itakapotokea mtu mwingine asiyeithamini ZANZIBAR akiwa RAIS wa TANZANIA angeondoa uwakilishi maalum wa ZANZIBAR.
ZANZIBAR ni mkoa wenye waislamu wengi, Kuwa na waislamu wengi haina maana kuwa ni nchi ya KIISLAMU. ZANZIBAR lazima iendane na Jamhuri ya muungano wa TANZANIA (secular state). Isipojengwa kwa msingi huo basi hakuna muungano ( Ikumbukwe, muungano upo kwa mujibu wa documents zilizopo( na siyo kwa kufuata hisia za watu fulani)). Ndio maana uamusho waliwekwa ndani( Kwasababu, documents zipo na siyo suala la hisia).
Zanzibar ni suala tu la muda kabla hatujawapelekea rasmi Mwamposa, kwenda kuwauzia mafuta na maji ya upako.
 
Back
Top Bottom