Mkwawe
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 3,132
- 5,508
Kipengele gani kwenye katiba ya Zanzibar kinatanabaisha hivyoZanzibar ni inchi ya kiislamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipengele gani kwenye katiba ya Zanzibar kinatanabaisha hivyoZanzibar ni inchi ya kiislamu
Kwanini?Wakristo nyie ni machizi kabisa
Zaidi ya asilimia 10 ya wazanzibari ni wakristu nao pia wana haki kwa kila kitu kama wakazi wengineMzanzibar mkiristu ni jaji agustino ramadhani tu
Kuna wenzio wanailalamikia Azam ikionyesha mpira katika uwanja wa Dodoma wanaonyesha na msikiti uliokaribu na uwanja aonao unaawambiaje?Kitu ambacho sio mali ya UMA hupaswi kukilalamikia mkuu,ww ukiona sio Mrengo wako unajikataa tu unatune station nyingine
Sasa kama Mayajua hayo kwanini kila siku mnamlalamikia Azam kisa tu kwenye mpira anawa zoom watu waliovaa hijab na baraghashia?Nani kakulazimisha kuangalia. Kwanini usiangalie qaswida kwenye channel za waislamu? Pilipili usisozila zakuwashia nini? Si bure we ni mchawi.
Mtoa mada naona anawakumbusha tu watoe boriti kwenye macho yao kuliko kung'ang'nia kutoka kibanzi kwenye jicho la mwenzio na hapa utawaona kwa wingi na wengi wao watakuja na matusi tuTafuta tv ya dini yako kwanini una lazimisha wefanye kama unavo taka, hao watu ni wadini sana japo wanasema wenzao.
Tata kama unalijua hilo kwa nini unailalamikia Azam kuwa ni wadini?Angalia Azam tv mkurugenzi! Kule hutojutia. ZBC2, Imaan tv, nk. Ni full mawaidha.
Tuliambiwa tusilalamike. Na mimi nimeona nitoe ushauri wa kistaarabu, na unaofanana na ule tulioshauriwa kipindi cha salamu za Christmas.Tata kama unalijua hilo kwa nini unailalamikia Azam kuwa ni wadini?
Asilimia 10 wanatoka wapi wewe,acha ujinga, sensa ya dini ilifanyika lini Zanzibar!?Zaidi ya asilimia 10 ya wazanzibari ni wakristu nao pia wana haki kwa kila kitu kama wakazi wengine
Wapi hii!!! Sijawahi ona!Mbaya zaidi kwenye taarifa za habari au vipindi vyao watangazaji wao wanawafosi wapige salamu Maria na waseme bwana yesu asifiwe hii si haki hata kidogo.
Ngoja vibesen xxx vya pombe aje akupe mrejeshoHivi inakuaje tv ambao wakristo na waislamu wanaingalia kutwa kupiga nyimbo za injili hii sahihi kweli? Yaani kila siku Saa kumi na mbili asubuhi ITV na startv wao nyimbo za injili tu huuu si ubaguzi huu jameni?
Mbaya zaidi kwenye taarifa za habari au vipindi vyao watangazaji wao wanawafosi wapige salamu Maria na waseme bwana yesu asifiwe hii si haki hata kidogo.
Mjitathimini watu watawapiga chini kwa huu uzwazwa wenu.
Tuletee mapambio ya waislam tuwekeHivi inakuaje tv ambao wakristo na waislamu wanaingalia kutwa kupiga nyimbo za injili hii sahihi kweli? Yaani kila siku Saa kumi na mbili asubuhi ITV na startv wao nyimbo za injili tu huuu si ubaguzi huu jameni?
Mbaya zaidi kwenye taarifa za habari au vipindi vyao watangazaji wao wanawafosi wapige salamu Maria na waseme bwana yesu asifiwe hii si haki hata kidogo.
Mjitathimini watu watawapiga chini kwa huu uzwazwa wenu.
Sasa kipindi Cha dini unataka useme samaleko?Hivi inakuaje tv ambao wakristo na waislamu wanaingalia kutwa kupiga nyimbo za injili hii sahihi kweli? Yaani kila siku Saa kumi na mbili asubuhi ITV na startv wao nyimbo za injili tu huuu si ubaguzi huu jameni?
Mbaya zaidi kwenye taarifa za habari au vipindi vyao watangazaji wao wanawafosi wapige salamu Maria na waseme bwana yesu asifiwe hii si haki hata kidogo.
Mjitathimini watu watawapiga chini kwa huu uzwazwa wenu.
Sawa mimi mjingaAsilimia 10 wanatoka wapi wewe,acha ujinga, sensa ya dini ilifanyika lini Zanzibar!?
Ni mtaa hakuna nchi paleZanzibar ni inchi ya kiislamu
Kwani kipengele gani kimetanabaisha hivo tanzania?Kipengele gani kwenye katiba ya Zanzibar kinatanabaisha hivyo
Pumbas,Ni mtaa hakuna nchi pale
Walipoambiwa tuhesabiane kidini walipinga sana,Asilimia 10 wanatoka wapi wewe,acha ujinga, sensa ya dini ilifanyika lini Zanzibar!?
Angalia TV2, Wao ni Mpira na Qaswidah, Kila mtu ashinde mechi zakeHivi inakuaje tv ambao wakristo na waislamu wanaingalia kutwa kupiga nyimbo za injili hii sahihi kweli? Yaani kila siku Saa kumi na mbili asubuhi ITV na startv wao nyimbo za injili tu huuu si ubaguzi huu jameni?
Mbaya zaidi kwenye taarifa za habari au vipindi vyao watangazaji wao wanawafosi wapige salamu Maria na waseme bwana yesu asifiwe hii si haki hata kidogo.
Mjitathimini watu watawapiga chini kwa huu uzwazwa wenu.