Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Naunga mkono hojaHivi inakuaje tv ambao wakristo na waislamu wanaingalia kutwa kupiga nyimbo za injili hii sahihi kweli? Yaani kila siku Saa kumi na mbili asubuhi ITV na startv wao nyimbo za injili tu huuu si ubaguzi huu jameni?
Mbaya zaidi kwenye taarifa za habari au vipindi vyao watangazaji wao wanawafosi wapige salamu Maria na waseme bwana yesu asifiwe hii si haki hata kidogo.
Mjitathimini watu watawapiga chini kwa huu uzwazwa wenu.
Zanzibar ni inchi , tena ya kiislamuZanzibar siyo nchi, na hata kama ingekuwa nchi siyo nchi ya KIISLAMU.
ZANZIBAR ni mkoa tu wa TANZANIA. Iliachwa kuwa nchi ili isipoteze IDENTITY yake, mara tu itakapotokea mtu mwingine asiyeithamini ZANZIBAR akiwa RAIS wa TANZANIA angeondoa uwakilishi maalum wa ZANZIBAR.
ZANZIBAR ni mkoa wenye waislamu wengi, Kuwa na waislamu wengi haina maana kuwa ni nchi ya KIISLAMU. ZANZIBAR lazima iendane na Jamhuri ya muungano wa TANZANIA (secular state). Isipojengwa kwa msingi huo basi hakuna muungano ( Ikumbukwe, muungano upo kwa mujibu wa documents zilizopo( na siyo kwa kufuata hisia za watu fulani)). Ndio maana uamusho waliwekwa ndani( Kwasababu, documents zipo na siyo suala la hisia).
Lakini wazanzibar hawa itizami hii channel kama ilivyo kwa TBC watanzania hawaitizamiKuna runinga ya Taifa inaitwa ZANZIBAR BROADCASTING CORPORATION na siku Saba za wiki ni aya za Koran tu na waajiriwa ni akina maziku na akina kishki utadhani wao ndo waandamizi wa shirika wakibadili Sana ujue Kuna mechi ya caf au ligi ya PBZ au mashindano ya kombe la mapinduzi
Kumbuka hii NI tv ya Taifa
ZBC1
ZBC2
Niseme tu una heri unayepata mda wa kuzitazama hizo TV ..... binafsi nlisha Acha kuzifuatilia hizo runinga tangu 2010 .... sikuhizi nawasha kingamuzi changu cha DSTV nangalia vipindi vingine vya michezoHivi inakuaje tv ambao wakristo na waislamu wanaingalia kutwa kupiga nyimbo za injili hii sahihi kweli? Yaani kila siku Saa kumi na mbili asubuhi ITV na startv wao nyimbo za injili tu huuu si ubaguzi huu jameni?
Mbaya zaidi kwenye taarifa za habari au vipindi vyao watangazaji wao wanawafosi wapige salamu Maria na waseme bwana yesu asifiwe hii si haki hata kidogo.
Mjitathimini watu watawapiga chini kwa huu uzwazwa wenu.
Azam.tv kusema.tu kheri xmasi hawataki wana iruka wanasema.kheri ya mwaka mpyaa 😀😀😀😀Hivi inakuaje tv ambao wakristo na waislamu wanaingalia kutwa kupiga nyimbo za injili hii sahihi kweli? Yaani kila siku Saa kumi na mbili asubuhi ITV na startv wao nyimbo za injili tu huuu si ubaguzi huu jameni?
Mbaya zaidi kwenye taarifa za habari au vipindi vyao watangazaji wao wanawafosi wapige salamu Maria na waseme bwana yesu asifiwe hii si haki hata kidogo.
Mjitathimini watu watawapiga chini kwa huu uzwazwa wenu.
Ww ulipo kuwa unaitolea povu Azam tv kisa salamu za kirsimas upendotv ,ITV na STarTV zilikuwa zimefungwa?Angalia Azam tv mkurugenzi! Kule hutojutia. ZBC2, Imaan tv, nk. Ni full mawaidha.
Mbona ZBC 2 kutwa mawaidhaHivi inakuaje tv ambao wakristo na waislamu wanaingalia kutwa kupiga nyimbo za injili hii sahihi kweli? Yaani kila siku Saa kumi na mbili asubuhi ITV na startv wao nyimbo za injili tu huuu si ubaguzi huu jameni?
Mbaya zaidi kwenye taarifa za habari au vipindi vyao watangazaji wao wanawafosi wapige salamu Maria na waseme bwana yesu asifiwe hii si haki hata kidogo.
Mjitathimini watu watawapiga chini kwa huu uzwazwa wenu.
Mzanzibar mkiristu ni jaji agustino ramadhani tuKuna runinga ya Taifa inaitwa ZANZIBAR BROADCASTING CORPORATION na siku Saba za wiki ni aya za Koran tu na waajiriwa ni akina maziku na akina kishki utadhani wao ndo waandamizi wa shirika wakibadili Sana ujue Kuna mechi ya caf au ligi ya PBZ au mashindano ya kombe la mapinduzi
Kumbuka hii NI tv ya Taifa
ZBC1
ZBC2
Kwani na nyinyi si ndiyo mlikuwa mnatujibu majibu ya aina hii hii!!Ww ulipo kuwa unaitolea povu Azam tv kisa salamu za kirsimas upendotv ,ITV na STarTV zilikuwa zimefungwa?
Kama unakereka fungus tv yako upige qaswidaHivi inakuaje tv ambao wakristo na waislamu wanaingalia kutwa kupiga nyimbo za injili hii sahihi kweli? Yaani kila siku Saa kumi na mbili asubuhi ITV na startv wao nyimbo za injili tu huuu si ubaguzi huu jameni?
Mbaya zaidi kwenye taarifa za habari au vipindi vyao watangazaji wao wanawafosi wapige salamu Maria na waseme bwana yesu asifiwe hii si haki hata kidogo.
Mjitathimini watu watawapiga chini kwa huu uzwazwa wenu.