Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Unaharisha ?Pumbas,
Rudini kwenu wagalatia, leo miaka 60 hamjafanikiwa, waacheni wenyewe na inchi yao, wale wameelimika zamaniiiiii hamuwawezi,
Na sasa wanawatawala
Na watawatawala mpaka mtachukia,
Zanzibar ni inchi kamili mnawachelewesha tu na udini wenu
Kaangalie TV imaniHivi inakuaje TV ambao wakristo na waislamu wanaingalia kutwa kupiga nyimbo za injili hii sahihi kweli? Yaani kila siku Saa kumi na mbili asubuhi ITV na startv wao nyimbo za injili tu huuu si ubaguzi huu jameni?
Mbaya zaidi kwenye taarifa za habari au vipindi vyao watangazaji wao wanawafosi wapige salamu Maria na waseme bwana yesu asifiwe hii si haki hata kidogo.
Mjitathimini watu watawapiga chini kwa huu uzwazwa wenu.
Angalia TV IMANI na ZBCHivi inakuaje TV ambao wakristo na waislamu wanaingalia kutwa kupiga nyimbo za injili hii sahihi kweli? Yaani kila siku Saa kumi na mbili asubuhi ITV na startv wao nyimbo za injili tu huuu si ubaguzi huu jameni?
Mbaya zaidi kwenye taarifa za habari au vipindi vyao watangazaji wao wanawafosi wapige salamu Maria na waseme bwana yesu asifiwe hii si haki hata kidogo.
Mjitathimini watu watawapiga chini kwa huu uzwazwa wenu.
We jamaa unawapatiaaaa, umetisha
Nawaambia,Kuna wenzio wanailalamikia Azam ikionyesha mpira katika uwanja wa Dodoma wanaonyesha na msikiti uliokaribu na uwanja aonao unaawambiaje?
Zanzibar ni nchi iliyo kwenye muungano na hizo national broadcasting channels zinalipiwa kodi na wallpapers kodi wa JMT qmbayo sio state ya kiislqmu lakini hujawahi kusikiq mkristo akilalamika content zao....ITV na Star TV ni private cooperation huwezi jua wanaohost hivo vipindi pengine wanalipia content zao.Zanzibar ni inchi ya kiislamu
Nyinyi sindio mlikuwa mnalalamika azam tv hawaweki nyimbo za x massTafuta tv ya dini yako kwanini una lazimisha wefanye kama unavo taka, hao watu ni wadini sana japo wanasema wenzao.
Zanzibar nayo ni Tz je, ZBC wanapiga muziki wa gospel?[emoji851]Hivi inakuaje TV ambao wakristo na waislamu wanaingalia kutwa kupiga nyimbo za injili hii sahihi kweli? Yaani kila siku Saa kumi na mbili asubuhi ITV na startv wao nyimbo za injili tu huuu si ubaguzi huu jameni?
Mbaya zaidi kwenye taarifa za habari au vipindi vyao watangazaji wao wanawafosi wapige salamu Maria na waseme bwana yesu asifiwe hii si haki hata kidogo.
Mjitathimini watu watawapiga chini kwa huu uzwazwa wenu.
Zaidi ya asilimia 10 ya wazanzibari ni wakristu nao pia wana haki kwa kila kitu kama wakazi wengine