Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatuletea Habari za Vitoto tukusaidie nini
#Usalama wa taifa ni muhimu kuliko kitu chochote kike
Una application ya google au unamaanisha kuingilia google kivipJamii forum hadi uingie google au operamin sa hio whatsapp unaingilia wap
Huyo moto chini naona anaungua matakoKuzimwa mitandao ni habari za kitoto?
Marekani hakuna haki.? Mbona waliilalamikia facebook kwa kupanga matokeo ya urais.!Ujinga mzigo sana, kama wangetenda haki kungekuwa na tatizo kweli? Kwanza sisi wananchi ndio tungekuwa wa kwanza kuwaambia wapinzani mmeshindwa na mkubali matokeo
Internet inazimwa ndani ya nchi zaidi ya siku 1 alafu chombo kikubwa ndani ya nchi hiyohiyo hakijatangaza wala kukemea chaajabu ndio kwanza chombo husika kinaomba kutumiwa video za matukio yanayoendelea kwenye mitaa ya nchi.
Hili ajabu liwe la 8 la dunia