Uchaguzi 2020 ITV washambuliwa mtandaoni baada ya kuwataka wananchi wawatumie matukio yanayojiri kwa WhatsApp

Uchaguzi 2020 ITV washambuliwa mtandaoni baada ya kuwataka wananchi wawatumie matukio yanayojiri kwa WhatsApp

Kama kuzima internet ni ushamba
Kuhepuka mihemko
Basi Tanzania itakuwa sio mshamba wa kwanza hata China waliwahi kuzima
Korea Kaskazini walizima
Na washamba wengine kibao kutoka kila kona ya dunia uwa wanazima kwa usalama wa nchi zao
Pia marekani waliilalamikia facebook kwa kupanga matokeo, tatizo watu hawajui athari za mitandao ya kijamii hasa wakati huu wa uchaguzi ndio maana wanaongea ujinga
 
Pia marekani waliilalamikia facebook kwa kupanga matokeo, tatizo watu hawajui athari za mitandao ya kijamii hasa wakati huu wa uchaguzi ndio maana wanaongea ujinga
Kuna vurugu zilitokea Marekani? Kura zetu za analog fb inaingiaje. Umefika hata darasa la nne kweli wewe?
 
Pia marekani waliilalamikia facebook kwa kupanga matokeo, tatizo watu hawajui athari za mitandao ya kijamii hasa wakati huu wa uchaguzi ndio maana wanaongea ujinga
Facebook hajalalamikiwa kupanga matokeo ya Marekani ww hv unajua mfumo wa uchaguzi wa Marekani umekaa vp au ndo uliangalia movie ndo unakuja kuleta habar zako.Facebook company ilkuwa na tuhuma tu za kuruhusu baadhi ya content ambazo walihisi zilichangia kubadl mtazamo wa nan apigiwe kura and not otherwise and mind you they were claims or allegations
 
Kama kuzima internet ni ushamba
Kuhepuka mihemko
Basi Tanzania itakuwa sio mshamba wa kwanza hata China waliwahi kuzima
Korea Kaskazini walizima
Na washamba wengine kibao kutoka kila kona ya dunia uwa wanazima kwa usalama wa nchi zao
Kwani kuna tishio la usalama nchi hii?Mbona serikali imefanya kila kitu chema sasa wasiwasi wa nini mkuu?
 
Tatizo bado tunahitaji msaada wa namna bora ya matumizi ya mitandao.

Sasa kunafaida gani iwepo kama matumizi yake ni kwa ajili ya matusi au kutukana nako ni haki ya msingi kikatiba.
 
Ndo udikteta wenyewe huo
Kama kuzima internet ni ushamba
Kuhepuka mihemko
Basi Tanzania itakuwa sio mshamba wa kwanza hata China waliwahi kuzima
Korea Kaskazini walizima
Na washamba wengine kibao kutoka kila kona ya dunia uwa wanazima kwa usalama wa nchi zao
 
Facebook hajalalamikiwa kupanga matokeo ya Marekani ww hv unajua mfumo wa uchaguzi wa Marekani umekaa vp au ndo uliangalia movie ndo unakuja kuleta habar zako.Facebook company ilkuwa na tuhuma tu za kuruhusu baadhi ya content ambazo walihisi zilichangia kubadl mtazamo wa nan apigiwe kura and not otherwise and mind you they were claims or allegations
Unakurupuka tuu bila kuelewa jambo, ndio maana nkasema mitandao ya kijamii inaweza kuathiri uchaguzi
 
Kuna vurugu zilitokea Marekani? Kura zetu za analog fb inaingiaje. Umefika hata darasa la nne kweli wewe?
Npo darasa la 1 C, kama hy mitandao haiathiri uchaguzi bc wasingezima
 
Unakurupuka tuu bila kuelewa jambo, ndio maana nkasema mitandao ya kijamii inaweza kuathiri uchaguzi
Hivi ukikaa unahisi wote hawajaenda shule ww,hofu walokuwa nayo wengi dunian n kwamba social media zna content ambazo znaweza kupose threat kwa watu ignorant ambao uwezo wao wa kuprocess information mdogo sana.Facebook,whatsapp,Instagram,etc sio threat kwa watu ambao wanajua dunian wanafanyana nn wote ambao mmekuwa anti-social media I doubt either your are ignorant or your are greedy thinking of your own benefits and ignoring the greater good mind you I know how these social media work and have been in this field for a reasonable time so before posting your rubbish mind your social status and position.hope we clear and again unapose false assumption et zinaweza based on what kind of reasoning una evidence zp za kuback up hizo claims zako hyo ndo inaitwa reasoning from ignorance
 
Hicho ndo tunachoweza wabongo uchaguzi mtandaoni
 
Kwani kuna tishio la usalama nchi hii?Mbona serikali imefanya kila kitu chema sasa wasiwasi wa nini mkuu?
Ukisikia kuna vyombo vya usalama wa Taifa basi tambua moja ya majukumu yao ni kulinda usalama wa Taifa
Ooohh mbona hakuna tishio lolote la usalama tumejifunza kupitia corona
Mlikuwa mnapotosha umma kupitia social media
Maiti zimetapakaa amana, watu wanazikwa usiku, kumbe mnachukua maiti za ebola huko Ivory coast mnazitupia social media alafu mnaketa taharuki katika jamii kunduchi hiyo
Pumbafff piga Ban mitandao yote kisha nchi imetulia tuliii
Wapotoshaji, waleta taharuki nchini wamebaki wanalalama tu, kama kondoo aliyelazwa chini anasubiri kuchinjwa..
 
Ukisikia kuna vyombo vya usalama wa Taifa basi tambua moja ya majukumu yao ni kulinda usalama wa Taifa
Ooohh mbona hakuna tishio lolote la usalama tumejifunza kupitia corona
Mlikuwa mnapotosha umma kupitia social media
Maiti zimetapakaa amana, watu wanazikwa usiku, kumbe mnachukua maiti za ebola huko Ivory coast mnazitupia social media alafu mnaketa taharuki katika jamii kunduchi hiyo
Pumbafff piga Ban mitandao yote kisha nchi imetulia tuliii
Wapotoshaji, waleta taharuki nchini wamebaki wanalalama tu, kama kondoo aliyelazwa chini anasubiri kuchinjwa..

Eti watu wanajiita great thinkers kumbe ni great sinkers! If you abuse your freedom, you can reasonably expect the government to curb it.
 
Kama kuzima internet ni ushamba
Kuhepuka mihemko
Basi Tanzania itakuwa sio mshamba wa kwanza hata China waliwahi kuzima
Korea Kaskazini walizima
Na washamba wengine kibao kutoka kila kona ya dunia uwa wanazima kwa usalama wa nchi zao
Umeona minchi unayotaja!
 
Nchi imepata aibu ya kishamba sana
Kwa asiye fahamu athari za mitandao ya kijamii hasa wakati huu wa uchaguzi ndo atasema hayo maneno, ht mm nimeathirika kwa hy mitandao kufungwa lkn usalama wa taifa kwanza
 
Back
Top Bottom