Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa umenifumbua macho sijawai fikiria hii issue aiseeNdugu zetu wakenya mnateseka sana na mamb ya tz akat yenu ya kuuza madn fek 2meyakalia kimya 2 2onyeshen migod yenu basi
Jifunze kuandika kiswAhili,Ndugu zetu wakenya mnateseka sana na mamb ya tz akat yenu ya kuuza madn fek 2meyakalia kimya 2 2onyeshen migod yenu basi
Hahaa... Sidhani kama kaandika Kiswahili, hiyo itakuwa ni lugha inayofanana na Kiswahili...Jifunze kuandika kiswAhili,
NUGU
Kwani nyinyi na hayo migodi yenyu yooote mnashinda Kenya kwa lini? Wajua Kenya ni kati ya mataifa yanayouza Tanzanite kwa wingi zaidi duniani....kuliko hata Tanzania, kunakotokea madini hayo? Bongolala nyinyi.Ndugu zetu wakenya mnateseka sana na mamb ya tz akat yenu ya kuuza madn fek 2meyakalia kimya 2 2onyeshen migod yenu basi
Past tenseKwani nyinyi na hayo migodi yenyu yooote mnashinda Kenya kwa lini? Wajua Kenya ni kati ya mataifa yanayouza Tanzanite kwa wingi zaidi duniani....kuliko hata Tanzania, kunakotokea madini hayo? Bongolala nyinyi.
Past tense, eh?Past tense
Mko na madini na bado nyinyi ni LDC...kwani ni ya nini basi? Kuonyesha watalii ama...shenzi kabisa!!!!Ndugu zetu wakenya mnateseka sana na mamb ya tz akat yenu ya kuuza madn fek 2meyakalia kimya 2 2onyeshen migod yenu basi
Hiyo ya tanzanite ilikuwa enzi za kikwete hivi sasa mze baba kawabana pumbu pa kumulia hamna.Kwani nyinyi na hayo migodi yenyu yooote mnashinda Kenya kwa lini? Wajua Kenya ni kati ya mataifa yanayouza Tanzanite kwa wingi zaidi duniani....kuliko hata Tanzania, kunakotokea madini hayo? Bongolala nyinyi.
LA hasha, madini ya Tanzanite bado zinakuwa processed Nairobi na kuuzwa kwenye mataifa ya nje. Kenya haina Tanzanite, lakini no vipi hill linafanyika? Bongolala nyinyi kuamini hizo propaganda ovyo za Magufuli.Hiyo ya tanzanite ilikuwa enzi za kikwete hivi sasa mze baba kawabana pumbu pa kumulia hamna.
Endelea kujifariji.tanzanite inauzwa palepale mirerani huko Nairobi wananunua vito tuLA hasha, madini ya Tanzanite bado zinakuwa processed Nairobi na kuuzwa kwenye mataifa ya nje. Kenya haina Tanzanite, lakini no vipi hill linafanyika? Bongolala nyinyi kuamini hizo propaganda ovyo za Magufuli.
Kenya haina madini mengi ikiwemo ya limestone, flourspar, chumvi, changarawe, aina kadhaa vyuma na hivi majuzi mafuta yaligunduliwa.
Hata hivyo kwa miaka nyingi tangu uhuru, Kenya bado ilikuwa na uchumi madhibuti kuliko mataifa karibu yote zinazongozwa na watu weusi, has a kwa kuzingatia zaidi sekta za huduma, benki, viwanda,utalii, kilimo ya mazao ya kuuzwa ngambo nk.
Zingatia ukweli huu, ya kwamba sekta ya madini kwa nchi nyingi zinazoendelea, hasa Africa ni kisirani. Nchi za Africa ambazo zimebakia zenye amani na angalau zimefikia ufanisi fulani kiuchumi ni zile ambazo zina madini duni. Shukuruni Mungu watanzania mlisazwa kutokana na serikali madhubuti mliokuwa nayo ya Nyerere nyakati zile.
Mnaiba Congo kwan nan hajui hahahaha tz hamuwez kuiba tumewaminya mapumb****Migodi tuwe nayo ya nini wakati Tanzania shamba la bibi lina migodi ya kutosha ambayo kila mtu hujichukulia.
Hapa Nairobi ndio soko kubwa la dhahabu na Tanzanite, na pia ndiko watalii wanashukia wengi ili kuona mlima Kilimanjaro.
Huwezi kupewa vyote, unapewa raslimali unanyimwa ubongo, au upewe akili unyimwe raslimali.
Hivyo sisi hatuna migodi wala raslimali lakini kwa vile tumepewa akili, tunatawala ukanda wote huu kiuchumi.
Nyie raslimali na migodi mnayo ila maskini wa kutupwa maana mlinyimwa akili.
Tz inaibiwa na waarabu, wahindi na WaSouth, sijui kama Wakenya wamefaulu hapo.Mnaiba Congo kwan nan hajui hahahaha tz hamuwez kuiba tumewaminya mapumb****
Changarawe mnanunua bei ngapi kwa gram?LA hasha, madini ya Tanzanite bado zinakuwa processed Nairobi na kuuzwa kwenye mataifa ya nje. Kenya haina Tanzanite, lakini no vipi hill linafanyika? Bongolala nyinyi kuamini hizo propaganda ovyo za Magufuli.
Kenya haina madini mengi ikiwemo ya limestone, flourspar, chumvi, changarawe, aina kadhaa vyuma na hivi majuzi mafuta yaligunduliwa.
Hata hivyo kwa miaka nyingi tangu uhuru, Kenya bado ilikuwa na uchumi madhibuti kuliko mataifa karibu yote zinazongozwa na watu weusi, has a kwa kuzingatia zaidi sekta za huduma, benki, viwanda,utalii, kilimo ya mazao ya kuuzwa ngambo nk.
Zingatia ukweli huu, ya kwamba sekta ya madini kwa nchi nyingi zinazoendelea, hasa Africa ni kisirani. Nchi za Africa ambazo zimebakia zenye amani na angalau zimefikia ufanisi fulani kiuchumi ni zile ambazo zina madini duni. Shukuruni Mungu watanzania mlisazwa kutokana na serikali madhubuti mliokuwa nayo ya Nyerere nyakati zile.