Hahaha Mawazo ya mkosaji hayo joh! Atakula bata na wew utaendelea kula unacho kipata na yeye ataendelea kula acho kitaka na wote tutakufa!Msema kweli ni futi 6
Ndio Ni Pablo Escobar nilipitiwa kidogo tuPablo Escobar sio Nas Escobar point of correction.
Dah aiseeemganga yule!
Zari na Ivan ni partners in crimes na ukumbuke wale ni wazazi wa watoto wa3
Naamini mpk Leo Ivan anakula mzigo ule kiulaini!
Na mondi anachunwaaa!!
Hujawahi ona mwanamke kaolewa Ila bwana ake wa longi akimtaka anampata kwa urahisi tu!
So Mwisho wa mchezo Zari atarudi kwa ivan !!
Amini maneno yangu!
Kuna jamaa yangu yuko kampala anafanya kazi media house moja kubwa alinitumia DM za zari kwa Ivan wakati wa ile issue ya domo ya nyumba wakati wa BD ya Zari. Zari alikuwa anamplease sana Ivan asijibu wala kufanya lolote n its like zari anajua how rich gang are capable of doing. N its like zari ana meet sana na Ivan huko SA.
Halafu hawa rich gang wakitaka kuexpose kila mawasiliano ya zari kwa Ivan mbona domo atamkimbiza zari mchana kweupe
Mondi anachunwa tuu!!!!huo ndo ukweli!Dah aiseee
Chezea rich gang wewe [emoji23][emoji23]Mondi anachunwa tuu!!!!huo ndo ukweli!
Kiukweli naomba mwenye info za kutosha za huyu jamaa atuambie anapiga ishu gani za kuingiza kiasi hicho? Mana sio kwa mabulungutu hayo.
Nakumbuka juzi kati mr diamond(nlikuja kuamini ni zari alifanya hivo) alipotoa kile kijembe siku chache baadae ivan alipost amekaa na cash money wenzake wamepanga "mihela" midola mi euro kwenye meza hio haitoshi jamaa akaanza kurusha kwa kamera man viburungutu vya dola
Anyway tuache hayo mana nsije kuwachokoza akina diamond humu.
Back to ivan, anapiga ishu gan huyu aise....mara nasikia ana tenda serikalini, mara anamiliki chuo huko south africa(sijui kama kweli).
Akina geniveros na akina miss chaga najua nawarusha roho nkiwaonesha madolari kama haya ...wadada changamken tena yuko single mshikaji..ila mtakua mnajiuliza mwanamke mwenzenu zarina ameondokaje pale na pako loaded [emoji23][emoji23]
Kweli life is not fair...ana tabia kama za floyd mayweather vile..mtu anaonesha kiburungutu cha dola mbele yako halaf anachat na simu halafu ukijichek wewe mfukoni una buku teni tu.
View attachment 415722
View attachment 415723
View attachment 415724
View attachment 415725
View attachment 415726
View attachment 415727
View attachment 415728
View attachment 415729
View attachment 415730
Yes mkuuDah huyu jamaa nilikua namsikia tuu kua ana mpunga kumbe ana mpunga wa maana aseee.
Kanipa wivu wa kuhustle hard aseee
Duh swal gumu...
Ivi kuchukuliwa mwanamke na kumwona mwanamke wako anafurahi na kuibiwa ela kipi chauma zaidi.!?
hapana chezea weweee....!!!Chezea rich gang wewe [emoji23][emoji23]
Kuna kitu Zarina anapendaga saana kutwa mara tisa.Ok why alimuacha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Daah yaan nimecheka kwa nguvu.Vidole kwenye mikono na miguu yako havilingani.. Kila mtu aishi anavyotaka ili mradi havunji sheria za nchi..
Kama Pablo alikuwa anaingiza $ 60 Million na akawa anafanya siri wewe ulijuaje??
Ha haa mashobo ya kiswahili!hata mimi nilimshangaa Diamond amekosa wa kumshauri kuwa South Africa sio safe place ku-battle na watu kama Rich Gang.
Meneja wa Diamond wana kibarua kigumu kumshauri aache yale mashobo ya kiswazi especially atakua anaenda SA aliponunua nyumba.