Weeeh kweli kuhusu mondi kasema nyumba kanunua mill 400uko gizani ivan ana hela diamond mwenyewe nyumba kanunuliwa na zari..vilevile diamond mwenyewe kaolewa pale alianza kwa kununuliwa then akachukuliwa kabisa..
nasikia imeandikwa jina la zari eti mwanasheria aligoma kuweka jina la mond au tiffa .nadhani kaliwa tu dogoWeeeh kweli kuhusu mondi kasema nyumba kanunua mill 400
Kweli kabisa uliyoongea yaan mond anachunwa haswa na ivan na zari wanajua wanachofanyamganga yule!
Zari na Ivan ni partners in crimes na ukumbuke wale ni wazazi wa watoto wa3
Naamini mpk Leo Ivan anakula mzigo ule kiulaini!
Na mondi anachunwaaa!!
Hujawahi ona mwanamke kaolewa Ila bwana ake wa longi akimtaka anampata kwa urahisi tu!
So Mwisho wa mchezo Zari atarudi kwa ivan !!
Amini maneno yangu!
[emoji28][emoji28]Mimi ndo mganga wa kienyeji
Kua na amani!!
Sawaa...?
[emoji28][emoji28]Haha Haya usiku mwema kesho twende Bank Ku Deposit mahela au sio halafu tuje tupige picha[emoji3] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji16] [emoji38]
Na mm nimesoma shouger kaliwa mchana kweupeeeenasikia imeandikwa jina la zari eti mwanasheria aligoma kuweka jina la mond au tiffa .nadhani kaliwa tu dogo
ila bi sandra alitoaje m 400? wakati anauza dagaa?Na mm nimesoma shouger kaliwa mchana kweupeeee
Kwani alitoa bi sandra au mondi?ila bi sandra alitoaje m 400? wakati anauza dagaa?
Duuuhnasikia imeandikwa jina la zari eti mwanasheria aligoma kuweka jina la mond au tiffa .nadhani kaliwa tu dogo
bi sandra si ndo muweka hazina wa wasafi?Kwani alitoa bi sandra au mondi?
best wacheka nini?[emoji28][emoji28]
Mmh sidhani kwa alivyo haelewani na zari ulifkili angetoa hyo helabi sandra si ndo muweka hazina wa wasafi?
We shangaa hivyohvyo watu wamekuja kuvunaDuuuh
kapelekwa kwa wanasheria feki huko south anamjua nani mwenyewe shule hana?Duuuh
mjini mipango!Kweli kabisa uliyoongea yaan mond anachunwa haswa na ivan na zari wanajua wanachofanya
Ulivyomuitikia uyo [emoji121][emoji121]kua ww mgangabest wacheka nini?
Kweli kabisa na haswa ukiyapata mangombe yakomjini mipango!
Sometimes bora nusu Shari kuliko Shari kamili!!Ulivyomuitikia uyo [emoji121][emoji121]kua ww mganga
KabisaaaSometimes bora nusu Shari kuliko Shari kamili!!