Siwezi ishi nyumba ya makuti kwa sababu ya ghorofa la jirani. Hivi unadhani hiyo leaders hao wa mbagala hawaendi..??? KUKAA KARIBU NA MAHAKAMA SI KUJUWA SHERIA
Ishi katika nyumba yako ya makuti pembeni ya ghorofa ila uwe na usongo wa kutafuta pakee umkalishe mwenye ghorofa!usiogope ushindani!!!pesa hutafutwa ukiishi kinyonge utakuwa mnyonge!get rich or die tryin!!!Siwezi ishi nyumba ya makuti kwa sababu ya ghorofa la jirani. Hivi unadhani hiyo leaders hao wa mbagala hawaendi..??? KUKAA KARIBU NA MAHAKAMA SI KUJUWA SHERIA
hilo nalo neno ila kweli umamwambia maana naona katoka povu balaa...
kiusalama nakuelewa ila kauli yako ya mwisho tata...una maana gani?Wa dar live mnajuana!!!nikienda dar live labda kuvuta pakee ila siyo kutumia pakee!location matters linapokuja suala la matumizi!huwezi sehemu kutumia watu wanakuangalia kwa hasira...
Hujaelewa, Kitendo cha wewe kutaja nyumba zinazoizunguka leaders club ni ulimbukeni.... Mi ningekuelewa kama ungetaja nini kipo ndani ya leaders club.... AFTERALL NIKIENDA LEADERS SIPELEKWI NA NINI KINAIZUNGUKA LEADERS CLUB BUT RATHER KILICHOMO NDANI YA LEADERS CLUB............... Wewe mwenzetu inaonyesha vilivyomo nje ya leaders (eg ubalozi, mawaziri etc ) ndo vinakufanya usifie leaders..............Ishi katika nyumba yako ya makuti pembeni ya ghorofa ila uwe na usongo wa kutafuta pakee umkalishe mwenye ghorofa!usiogope ushindani!!!pesa hutafutwa ukiishi kinyonge utakuwa mnyonge!get rich or die tryin!!!
Hivi mkikutana wote wauza sura mtaangaliana kwa hasira.......??? FANYA HIVI.............KATANUE MAHOTELI MAKUBWA........ BADALA YA KUKAA KUHANGAIKA NA DARLIVE WE NENDA MASERENA, MAKEMPISKI...etc etc By the way, kuna watu wapo hapa TZ matanuzi yao ni nje ya TZ..... HAPA WANAONA HAKUNA ZA LEVEL ZAO... NA HUWEZI UKAWASIKIA WASEMA LOLOTE JUU YA MAHOTELI YA HAPA, WAO KIMYA KIMYA NDANI YA NDEGE KWENA NA KURUDI..... wenye makerere ni kama debe tupu...Wa dar live mnajuana!!!nikienda dar live labda kuvuta pakee ila siyo kutumia pakee!location matters linapokuja suala la matumizi!huwezi sehemu kutumia watu wanakuangalia kwa hasira...
kiusalama nakuelewa ila kauli yako ya mwisho tata...una maana gani?
Hivi mkikutana wote wauza sura mtaangaliana kwa hasira.......??? FANYA HIVI.............KATANUE MAHOTELI MAKUBWA........ BADALA YA KUKAA KUHANGAIKA NA DARLIVE WE NENDA MASERENA, MAKEMPISKI...etc etc By the way, kuna watu wapo hapa TZ matanuzi yao ni nje ya TZ..... HAPA WANAONA HAKUNA ZA LEVEL ZAO... NA HUWEZI UKAWASIKIA WASEMA LOLOTE JUU YA MAHOTELI YA HAPA, WAO KIMYA KIMYA NDANI YA NDEGE KWENA NA KURUDI..... wenye makerere ni kama debe tupu...
mhh kiukweli kwa historia ya maeneo hayo itachukua muda...ila kama kuna usalama waacheni raia wajimwage mwage bwana.Hahahah!!!shosti kwani ushawahi kwenda pale?kuna ulocal flani bado ila naamini watazoea tu na uzuri wadar es salaam huenda kule basi watawabadilisha tabia ila inabidi waheshimu wakali ambao hawajoka temeke si kila mtu mgeni wamchukulie tozi!!!!
hujui unachoongea!!!!bei ya kiwanja kinondoni na mbagala utafananisha?hapo ndo utajua kwanini mbwiga mwenzako nilimuambia kama leaders ipo uzunguni!mimi na ujanja wangu nichome mafuta nikale bata mbagala nna wazimu....najibu swali lako magorofa ya leaders yananisaidia nini nikienda???peace of mind kwakuwa najua kuna security vichochoro vimedhibitiwa!
I was going to argue untill you called me 'mbwiga'. Jifunze kutoa hoja bila kukashifu mkuu. Tuheshimiane..
mbona mnabishana kwenye vitu ambavyo havina msingi? kinondoni mara mbagala sasa mlikuwa mnataka watu wasiinvest huko? na kwanza utawezaje kupasifia sehemu ambayo hata wewe haikusaidii zaidi ya kwenda kupunguza income yako na kushindwa kujenga na kuendelea kukaa kwa shemeji mwanaume aliemuoa dada yako? dah fikirini kabla hamjatapika. huyo jamaa kauliza swali so mwenye kujua amjibu sio kuanza kuongea vitu ambavyo haviusiani na jibu. ndio nyie mnaulizwa kwa mzee shigongo ni wapi mnaanza kujibu aisee huyu jamaa ni mhuni sana mara ni mlevi haujaulizwa hayo dah inasikitisha sana.
Hujaelewa, Kitendo cha wewe kutaja nyumba zinazoizunguka leaders club ni ulimbukeni.... Mi ningekuelewa kama ungetaja nini kipo ndani ya leaders club.... AFTERALL NIKIENDA LEADERS SIPELEKWI NA NINI KINAIZUNGUKA LEADERS CLUB BUT RATHER KILICHOMO NDANI YA LEADERS CLUB............... Wewe mwenzetu inaonyesha vilivyomo nje ya leaders (eg ubalozi, mawaziri etc ) ndo vinakufanya usifie leaders..............
ngali asante kwakumpa tofaut
Mkuu usicheze na lugha ya malkia!sasa hapo ndo umeongea nini???u were going to argue hapo until u called me!!!!relax mzee wa mbagala ukumbi mmewekewa mnataka na english course?
hii niliisikia pia,eti wa liz 1,shigongo kama kivuli 2...mwenye uwakika na hili atujuze