Ivi Hawa Majirani Zetu wa Jangwani Wamekosa hata Mtu wa Kuwashauri kwenye Mavazi? Kweli kumuiga Simba SC bila hela ni kushindana na Tembo Kunya Boga

Ivi Hawa Majirani Zetu wa Jangwani Wamekosa hata Mtu wa Kuwashauri kwenye Mavazi? Kweli kumuiga Simba SC bila hela ni kushindana na Tembo Kunya Boga

Rajab_Omar

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2016
Posts
16,482
Reaction score
27,182
Kila nikiiangalia hii Picha huwa najiuliza Ni Utopoloni pekee ndiyo Suti inavaliwa na Raba?
Unaweza kudhani hichi ni kikundi cha wafanyakazi wa Hotelini wakijiandaa kulisha Watu waliohudhuria kwenye Mkutano au Kikao cha Kikazi.
Kama kawaida yao kwenye kuigaiga Walijaribu kutuiga Simba lakini walichoambulia ni Kituko 😂😂

UTOPOLO SQUAD.jpg


Enewey! Kumbe Utopolo barua yao ya kumkatia Rufaa Morrison kwend CAS wameiandika kwa kiswahili hatimae imerudishwa Jangwani 😂😂😂
 
Kila nikiiangalia hii Picha huwa najiuliza Ni Utopoloni pekee ndiyo Suti inavaliwa na Raba?
Unaweza kudhani hichi ni kikundi cha wafanyakazi wa Hotelini wakijiandaa kulisha Watu waliohudhuria kwenye Mkutano au Kikao cha Kikazi.
Kama kawaida yao kwenye kuigaiga Walijaribu kutuiga Simba lakini walichoambulia ni Kituko 😂😂

View attachment 1552962

Enewey! Kumbe Utopolo barua yao ya kumkatia Rufaa Morrison kwend CAS wameiandika kwa kiswahili hatimae imerudishwa Jangwani 😂😂😂

Ebwana we,Hawa no Yanga au Real Madrid? Aisee Hongera sana Gsm vijana wametokelezea ile kifayaa!!! Motoooo, konkiiii

Wape salaaam ,hii ndio maana halisi ya tm kubwa.
We'll done wananchi.
 
Kila nikiiangalia hii Picha huwa najiuliza Ni Utopoloni pekee ndiyo Suti inavaliwa na Raba?
Unaweza kudhani hichi ni kikundi cha wafanyakazi wa Hotelini wakijiandaa kulisha Watu waliohudhuria kwenye Mkutano au Kikao cha Kikazi.
Kama kawaida yao kwenye kuigaiga Walijaribu kutuiga Simba lakini walichoambulia ni Kituko 😂😂

View attachment 1552962

Enewey! Kumbe Utopolo barua yao ya kumkatia Rufaa Morrison kwend CAS wameiandika kwa kiswahili hatimae imerudishwa Jangwani 😂😂😂
utafikiri wahudumu wa kilimanjaro hotel
 
Kwahiyo simba ndo timu ya kwanza kuvaa suti duniani? Kwamba wengine wote wameiga?

Acha wivu mkuu hii ni roho ya kishamba ambayo watanzania wengi wanayo kwamba mtu akifanya kitu basi kaiga kwahiyo wao hawatakiwi kufanya jambo lolote kisa wataiga.
 
Umenunua lini Smartphone yako.. Hata kama umechelewa kuja mjini lakini sio kwa ushamba huo. View attachment 1553041

Hii igaiga yenu kwakuwa Ronaldo alipakatwa Morocco basi mutaona kwasababu aliyepakatwa ni Mzungu itakuwa ni sawa na nyinyi Vyura mutaiga tutakuja kuwapakata ndani ya Jangwani na mutaona sawa.
 
Kwahiyo simba ndo timu ya kwanza kuvaa suti duniani? Kwamba wengine wote wameiga?

Acha wivu mkuu hii ni roho ya kishamba ambayo watanzania wengi wanayo kwamba mtu akifanya kitu basi kaiga kwahiyo wao hawatakiwi kufanya jambo lolote kisa wataiga.

Sio suti tu, kila kitu Yanga lazima muige kutoka kwa Simba.
Hata Siku ya Vyura, Oh samahani ni Siku ya Wananchi mumeiga kutoka kwa Simba.
kiufupi Simba ni mwalimu wa Yanga ingawa huyu mwanafunzi mwenyewe ana kichwa kigumu kujifunza.
 
Kuvaa suti na raba Wala sishangai maana Ni wazee wa kukopy na kupaste..nachoshanga hivi Harmonize alishindwa kubuni style ya kuingia nayo hadi 'akamkopy' bwana Domo siku ya Simba day?
 
Kila nikiiangalia hii Picha huwa najiuliza Ni Utopoloni pekee ndiyo Suti inavaliwa na Raba?
Unaweza kudhani hichi ni kikundi cha wafanyakazi wa Hotelini wakijiandaa kulisha Watu waliohudhuria kwenye Mkutano au Kikao cha Kikazi.
Kama kawaida yao kwenye kuigaiga Walijaribu kutuiga Simba lakini walichoambulia ni Kituko 😂😂

View attachment 1552962

Enewey! Kumbe Utopolo barua yao ya kumkatia Rufaa Morrison kwend CAS wameiandika kwa kiswahili hatimae imerudishwa Jangwani 😂😂😂
Pole sana mkuu, haya mrudishie simu shemeji yako ni wazi kuwa umeazima
 
Kuvaa suti na raba Wala sishangai maana Ni wazee wa kukopy na kupaste..nachoshanga hivi Harmonize alishindwa kubuni style ya kuingia nayo hadi 'akamkopy' bwana Domo siku ya Simba day?

Hawa nasubiri Wamcopy Amber Ruthy tu niwaibukie manake ninauhakika wakimaliza kukopi kila kitu cha Simba basi watahamia kwa Amber Ruthy na James Delicious.
 
Sio suti tu, kila kitu Yanga lazima muige kutoka kwa Simba.
Hata Siku ya Vyura, Oh samahani ni Siku ya Wananchi mumeiga kutoka kwa Simba.
kiufupi Simba ni mwalimu wa Yanga ingawa huyu mwanafunzi mwenyewe ana kichwa kigumu kujifunza.
Sasa mkuu hebu kua positive acha uswahili kidogo.

Hizi ni fursa za timu kupata vipato, sasa kama zina tija na zinasaidia kuingiza mapato kuna shida gani ?
Sa nyingine ukiwa unaanzisha mada kaa fikiria sio unaanzisha mada kisa tu we Yanga wamefanya jambo ambalo simba walishalifanya.
 
Pole sana mkuu, haya mrudishie simu shemeji yako ni wazi kuwa umeazima

Wacha kuzuga kijana Shemeji yangu ni wewe uliyeniazima Simu baada ya kuona napoteza Muda mwingi kumgegeda Dadayako ukaona bora unipe Simu ili nichati Dadayako apate kupumzika na mgegedo.
 
Hawa nasubiri Wamcopy Amber Ruthy tu niwaibukie manake ninauhakika wakimaliza kukopi kila kitu cha Simba basi watahamia kwa Amber Ruthy na James Delicious.
Duh [emoji28][emoji28] waonee huruma mkuu kandanda si vita Kaka!
 
Back
Top Bottom