Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
Itakuwa imevunjika kama sio kuchanikaJamuhuri ya telegram
Kila nikifungua inaandika updating na haijawai kumaliza
kumbeItakuwa imevunjika kama sio kuchanika
tangu jamaa aende jela shida tupuNilijua cm yangu inashida
Naam. Bila VPN hupati huduma.TUMIA VPN
Ndo maana yake mimi pia nimepasukiwa na twitter yangu yapata kama mwaka mmoja na nusu sasakumbe
Inafunguka kwa vpnJamuhuri ya telegram
Kila nikifungua inaandika updating na haijawai kumaliza
ππππ huduma gani mkuuNaam. Bila VPN hupati huduma.
Jau tu na wewe!Mimi tangu waondoe video za mbususu zikichakatwa siitumii tena
Kiaje blohJau tu na wewe!
Kiaje blohJau tu na wewe!
Au basi!Kiaje bloh
Njoo getoni mrembo usisuseAu basi!