Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,445
- 2,500
ni kweli wanaume tu dhaifu kwa haya
jana nlikuwa na bb moja wa kizungu akasema anawahi home mumewe ana zamu ya kupika awahi dinner
kwa afrika tuna umangi meza bado,jukumu la kufua kuandaa watoto na kupika ni letu sote
miaka ijayo itakuwa hivo wanawake kuweni wakali,mwanaume apangiwe zamu kupika nk.
bebiiii umenipata???????
jana nlikuwa na bb moja wa kizungu akasema anawahi home mumewe ana zamu ya kupika awahi dinner
kwa afrika tuna umangi meza bado,jukumu la kufua kuandaa watoto na kupika ni letu sote
miaka ijayo itakuwa hivo wanawake kuweni wakali,mwanaume apangiwe zamu kupika nk.
bebiiii umenipata???????