Duh nimehangaika kinoma kutafuta hiyo (O-pub) hapa BOSTON (USA) sijapapata bado, au mnamaanisha wa ughaibuni wako Xcused kwa jambo hili????.........
uoga wa nn sasa, kwamba jinc anavyokusoma humu anash2ka tu kukuona...lol, kazi ipo kama ndio hivyo! halafu Masaki mie ctaweza kuhudhuria, nipo mbali laaziz.
natamani ningehuduria lakini ndio hivyo tena, niwakilishe.
Kwakeli nimependa sana wazo la kuchangia wahang,lkn kwanini sisi kama wana JF tusikutane leo jioni japo tuanze na mchango wa elfu 5 tu kwa kila mwanachama maana kutoa ni moyo tena ikumbukwe leo ni wao na kesho ni sisi,ni mtazamo wangu tu sijui mna maoni gani wenzangu.
mimi yangu si unayo?....mbn hamna aliye ni pm no yake ya cm?
Sura yako si hii hapa tunaifahamu. Sema kingine!
Kumbe mnaficha sura ikifika kwenye michango????Hakuna tabu, hapo pa kukutania ni "Forum" nyingine, unaenda na "username", "password" na pia sura nyingine sio hii ya kwenye JF. Ukishindwa kabisa tuambie jinsi gani utawasilisha mchango wako manake nimnesoma vijisababu kiweta humu ndani, eti wengine wana sema watakuwa kwenye maombi ya wahanga kanisani , wanasafiri, eti hawezi kuingia baa bora iwe mzimbazi centre, mh hawajachangia na wanataka kwanza kuchangia JF, wameshitukizwa, wanahitaji ruksa za waume/ wake zao, huko mbali nk, nk!
Xp/organiser weka hewani utaratibu mbadala wa kuwafikia wale wenye Xcuses za kutotaka kuibua sura kwenye eneo la tukio au wale ambao tutashindwa kuwepo hapo palipokubalika kutokana na sababu za kijiografia na kiuchumi (yaitaji kuvuka ng'ambo na gharama zake ni kubwa kuliko kima cha chini cha kiwango cha mchango unaopendekezwa).
Sasa naona tulipatkana serious kwenda ni ss wawili tu je unayo nafasi leo?tunakutana wapi?
So wat do u sajest dear?
Ok dear kesho basi
kesho imekaa vizuri sana kwa kuwa ni furahi day!! Baada ya kikao cha kuchangai wahanga wa mafuriko, tunaendeleza libeneke na laga kwa kwenda mbele!
Nimesha ku pm namba yangu ya simu! 🙂
Thx nimepata kesho basi will kol al walio ni pm,be blessd