Ivi Kwann isiwe sisi?

Duh nimehangaika kinoma kutafuta hiyo (O-pub) hapa BOSTON (USA) sijapapata bado, au mnamaanisha wa ughaibuni wako Xcused kwa jambo hili????.........

Kikao kitaamua ni account namba ipi itumwe kwa watu walio nje ya nchi wenye nia ya kuchangia !! Tuko pamoja!
 
uoga wa nn sasa, kwamba jinc anavyokusoma humu anash2ka tu kukuona...lol, kazi ipo kama ndio hivyo! halafu Masaki mie ctaweza kuhudhuria, nipo mbali laaziz.

Usikonde laaziz, nitakuwakilisha!
 

Kuichangia JF ni ishu kubwa ndo ije iwe wahanga?
maprimium wapo wachache sana ,afu hata hao wengi wamechangia 5000/= toka mwaka juzi.
Kama kweli tuna moyo wa kuchanga tuanzie na JF ili iweze kujiendesha kwa ubora zaidi.

YES WE CAN!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
mbn hamna aliye ni pm no yake ya cm?
 
yap ninayo si utakuja?will kol u
 
 
Sasa naona tulipatkana serious kwenda ni ss wawili tu je unayo nafasi leo?tunakutana wapi?
mimi yangu si unayo?....
Ingawa pearl nisikufiche kuwa-organise watu ni vigumu sana,
 
Sasa naona tulipatkana serious kwenda ni ss wawili tu je unayo nafasi leo?tunakutana wapi?


Pearl kama nilivyokwambia hii kitu si ya kupanga kwa siku moja, mngechagua siku, muda na mahali itakuwa rahisi zaidi.
 
So wat do u sajest dear?
pearl kama nilivyokwambia hii kitu si ya kupanga kwa siku moja, mngechagua siku, muda na mahali itakuwa rahisi zaidi.
 
Ok dear kesho basi

Kesho imekaa vizuri sana kwa kuwa ni FURAHI DAY!! Baada ya kikao cha kuchangai wahanga wa mafuriko, tunaendeleza libeneke na laga kwa kwenda mbele!

Nimesha ku PM namba yangu ya simu! 🙂
 
Thx nimepata kesho basi will kol al walio ni pm,be blessd
kesho imekaa vizuri sana kwa kuwa ni furahi day!! Baada ya kikao cha kuchangai wahanga wa mafuriko, tunaendeleza libeneke na laga kwa kwenda mbele!

Nimesha ku pm namba yangu ya simu! 🙂
 
Count Baba_E in .. nita-PM namba yangu kesho PM

have a nice day - nawahi kwenye SEND-OFF ya mtoto wa shangazi wa Mjomba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…