Sura yako si hii hapa tunaifahamu. Sema kingine!
Kumbe mnaficha sura ikifika kwenye michango????Hakuna tabu, hapo pa kukutania ni "Forum" nyingine, unaenda na "username", "password" na pia sura nyingine sio hii ya kwenye JF. Ukishindwa kabisa tuambie jinsi gani utawasilisha mchango wako manake nimnesoma vijisababu kiweta humu ndani, eti wengine wana sema watakuwa kwenye maombi ya wahanga kanisani , wanasafiri, eti hawezi kuingia baa bora iwe mzimbazi centre, mh hawajachangia na wanataka kwanza kuchangia JF, wameshitukizwa, wanahitaji ruksa za waume/ wake zao, huko mbali nk, nk!
Xp/organiser weka hewani utaratibu mbadala wa kuwafikia wale wenye Xcuses za kutotaka kuibua sura kwenye eneo la tukio au wale ambao tutashindwa kuwepo hapo palipokubalika kutokana na sababu za kijiografia na kiuchumi (yaitaji kuvuka ng'ambo na gharama zake ni kubwa kuliko kima cha chini cha kiwango cha mchango unaopendekezwa).