Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,258
Huenda bado hujagundua kilichomfanya Ivo ajicheleweshe kusaini mkataba mpya na simba
hii nadhani itakua surprise kabla ya dirisha kufungwa lakini wapo wadakuzi ambao wameng'amua tayari
Ivo amesikia tetsi za Juma Kaseja kusajiliwa simba hivyo na yeye alikua anasikilizia ili kujiridhisha kabla ya kupishana naye na ndio maana hata fuba la usajili hajaligusa bado
hii nadhani itakua surprise kabla ya dirisha kufungwa lakini wapo wadakuzi ambao wameng'amua tayari
Ivo amesikia tetsi za Juma Kaseja kusajiliwa simba hivyo na yeye alikua anasikilizia ili kujiridhisha kabla ya kupishana naye na ndio maana hata fuba la usajili hajaligusa bado