Nadhani ndiye mtangazaji anayetangaza vizuri kuliko wote kwa upande wa watangazaji wa kike Tanzania. Kama kungekuwa na tuzo za watangazaji mahiri tanzania kwenye category ya mtangazaji bora mwanamke wa mwaka angechukua zaidi ya mara moja. Hakuna kama yeye tz kwa sasa, wengine watasubiri sana, mleta mada kama mmekwazana sehemu hiyo ni ishu binafsi wala haimpunguzii credibility. Pole sana.
Kwa hiyo 'anakubariki sana?'
Ukisoma post nyingi za watu hapo juu naona wanamsifia uzuri wake na si utangazaji wake, kama tutashindanisha Mtangazaji bora wa kike huyu Kamuntu bado sana.
Inaonekana hata Mhariri aliamua asi-edit kwa kumchoka jamaa, akaamua kuiacha kama ilivyo. Kwa kweli ilikuwa AIBU.hahahahaaa mkuu umenikumbusha nakumbuka aliongea hvyo makambako alikua anagawa bajaj kwa mlemavu
yani huyo dada akiwa anatangaza taarifa ya habari lazima nigombane na watu hapa maskani.Wao wanataka ITV na mie nataka nimkodolee macho huyo Ivona hata wakininyima msosi poa tu!kwa walokole huwa hatusemi nimempenda au namtamani bali tunasema ananibariki sana!
mimi nampenda