Mtani wa Taifa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2023
- 953
- 3,318
Kolo huna akili na kichwa chako ni kizito sana, au we ndio mangungu?Usichoelewa ni nini? Taifa kama Morocco haliwezi kukubali kufungwa kizembe kisa wanatimiza ratiba. Kila mechi kwao ni must win maana wameshajiwekea status ambayo lazima wailinde.
Na kwenye mpira hakuna huo uadui unaosema, ikitokea matokeo yangu yamekunufaisha au kukuumiza fresh tu, huo ndiyo mpira ulivyo.