Mtani wa Taifa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2023
- 953
- 3,318
Mental caseKwa hiyo watu tunajadili hoja za msingi wewe unaleta vita. Halafu unapata ujasiri wa kuhoji kama watu wana akili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mental caseKwa hiyo watu tunajadili hoja za msingi wewe unaleta vita. Halafu unapata ujasiri wa kuhoji kama watu wana akili?
Hata kwenye betting, odds zilikuwa zinampa Morocco nafasi ya kuifunga Zambia siku ile na watu wa betting wanasema muhindi siyo fala.Nadhani logic ya kawaida ni kwamba Morocco waliisaidia Ivory Coast kufuzu hatua inayofuata. So Wana appreciate.
Halafu isitoshe wamepewa nafasi na wakachukua kombeWe boya nini
Kwenye mpira timu ambayo ikishinda inakupa nafasi ya kusonga mbele kwa nini usiishangilie, fuata kanuni hii, adui wa adui yako ni rafiki yako sawa we kolo.
Tungewafunga DRC tungekuwa na point 4. Moroco7. Drc 2. Zambia 2. Ivory 3. Bado Ivory angefuzuHata kwenye betting, odds zilikuwa zinampa Morocco nafasi ya kuifunga Zambia siku ile na watu wa betting wanasema muhindi siyo fala.
Ukiniuliza mimi nitakwambia inawezekana zaidi kwa Tanzania kuliko Morocco ndiyo iliwafanyia favor Ivory Coast. Ukiangalia uchezaji wetu katika mechi na DRC, uchezaji wa kutotafuta ushindi wakati sare haikuwa inatupeleka popote changanya na historia yetu ya kujaribu kusaidia wengine wanapokuwa kwenye shida, mengine nitawaachia muunganishe dots wenyewe.