Ivory Coast kuendelea kuisifu na kuiabudu Morocco ni upuuzi uliopitiliza

Kolo huna akili na kichwa chako ni kizito sana, au we ndio mangungu?
 
Uko off sana sina cha kukusaidia
 
Mi mwenyewe nilitaka Moroco ashinde Ile game na ivory aende mbele ikawa ilivyokuwa na kombe wamebeba
Viva kwao ila kombe 2027 wabebe ndugu zetu Cape Verde
 
Uko off sana sina cha kukusaidia
Unisaidie nini sasa wakati haya matapishi uliyoyaandika hapa yanaendeshwa na chuki yako ya rangi ya ngozi na chuki ya udini? Wewe ndio unatakiwa ujisaidie na kuacha hizo chuki za kipumbavu.
 
Umejichanganya hadi ukaacha utupu wako waaazi. Una ID ngapi ukiacha hii na hiyo ya The Icebreaker?
Nina ID moja tu,yani empty set kama wewe nihangaike na wewe kwa ID's zingine hata kama ningekua nazo?

Kwahiyo kila atakaye kupinga kwa huu ujinga uliouandika hapa,zote hizo zitakua ni ID zangu sio?
 

Hapa ungekuta timu kama Misri ungefurahi na roho yako jinsi wanavyosaka goli. Sisi tumeridhiiika 🤣😂🤣

Nilitaka Ivory Coast wasogee sogee kidogo ili kuwatuliza mashabiki wao. Mimi huwa siyo fan wa mwenyeji yoyote wa mashindano makubwa kutoka mapema hata awe dhaifu kiasi gani

Unisaidie nini sasa wakati haya matapishi uliyoyaandika hapa yanaendeshwa na chuki yako ya rangi ya ngozi na chuki ya udini? Wewe ndio unatakiwa ujisaidie na kuacha hizo chuki za kipumbavu.

Ndio maana nakwambia huna akili unabisha, tangu mwanzo wa uzi wako ulikuwa unaonyesha chuki kwa Morocco kushangiliwa na mashabiki wa Ivory Coast lakini chuki yako inatokana na udini.
Pitieni post hizo. Kama kuna mtu toka mwanzo alikuwa anataka Ivory Coast avuke ni mimi. Pia nimeshazisifia sana Morocco na Misri. Kama mna pepo zenu za chuki msizilazimishe kwa wengine.
 
Kwenye vita unachagua silaha ya kupigwa nayo, una akili kweli wewe?
Kwa hiyo watu tunajadili hoja za msingi wewe unaleta vita. Halafu unapata ujasiri wa kuhoji kama watu wana akili?
 
Nadhani logic ya kawaida ni kwamba Morocco waliisaidia Ivory Coast kufuzu hatua inayofuata. So Wana appreciate.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…