Iwapo Nape anamaanisha Magufuli ni GodFather wa PolePole atastahili kuomba radhi mapema

Iwapo Nape anamaanisha Magufuli ni GodFather wa PolePole atastahili kuomba radhi mapema

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Kama Nape Nnauye anamaanisha Jemedari aliyetangulia mbele za haki Mhe. Dr John Pombe Magufuli kuwa Godfather wa PolePole basi anapaswa kutuomba radhi.

Iwapo anahisi the so called Godfather alimshindwa basi ajue nyuma ya Godfather lipo kundi kubwa sana la MaGrand GodFathers. Pia ni muhimu kujua kwamba Hata Godfather wake anaweza kuondoka siku moja na God grand Father akachukua hatamu. Hakuna atakayekaa kwa amani iwapo atamchafua the late and the legend JPM.

Makundi yote ndani ya CCM yajiepushe kuchafua viongozi wetu waadilifu waliopita .

Ipo siku tutahoji kifo cha Magufuli

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Kama Nape Nnauye anamaanisha Jemedari aliyetangulia mbele za haki Mhe. Dr John Pombe Magufuli kuwa Godfather wa PolePole basi anapaswa kutuomba radhi...
Unataka uombwe radhi wee jambazi uliyelelewa na jiwe!

Ajabu kweli kweli!
Wewe ndiyo utuombe radhi Watanzania kwa dhuluma uliyotufanyia ukisimamiwa na jiwe jambazi!
 
Atamwomba nani msamaha na wao ndiyo wenye chama na hamna kitu mtamfanya?

Chama kimerudi kwa wenyewe. Mbona nyie watu ni wagumu kuelewa?
Ataomba kwenye chama ...chama hakimuogopi mtu
 
Najaribu kuvuta taswira ya Nape Nnawie alipokuwa akikatisha Ikulu kwenda kuomba msamaha, Nalinganisha na kauli zake leo, nagundua kuwa Tanzania hatuna kabisa viongozi. Kuna kundi la wajasiliamali wa kisiasa tu. Toka ngazi ya juu hadi chini.
 
Najaribu kuvuta taswira ya Nape Mnawie alipokuwa akikatisha Ikulu kwenda kuomba msamaha, Nalinganisha na kauli zake leo, nagundua kuwa Tanzania hatuna kabisa viongozi. Kuna kundi la wajasiliamali wa kisiasa tu. Toka ngazi ya juu hadi chini.
Saa hizi Nape angekuwa ameweka viraka suruali yake kama asingeomba msamaha na kuanza kulamba viatu vya Jiwe!
 
Back
Top Bottom